Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,235
Mhhh hapa tuwasubiri akina dada wanasemaje maana ukisema wewe mwanaume utaambiwa unavutia kwako
Hili haliwezi eleweka asilani
Hapana, ni bora kupata mawazo ya both sides; je wanaume wanakubalina na hili, wengi wanaona kuwa jukumu linakwisha pale wanapomweka mwali ndani?
mie hii ndo kwanza nisikie, mana kule kwetu ukiolewa tu hilo ni jambo la kwanza unaloambiwa, kama mume alikuwa akila, akisafishiwa nyumba hata na ndugu zake na akitandikiwa kitanda, kilichomfanya aje kukuoa hapa ni kushughulika yale ya kitandani kisha hayo mengine yanafata baadae, sasa hao wanaume wa kuoa kwa ajili ya kukulisha ndo nawasikia hapa, ndoa ni kupigwa nao mengine yanafatia , kama mwanaume hakupi vitu hakuna cha kukuweka hapo na hiyo sio ndoa ni ndoano.:embarassed2:
/QUOTE]
Ok, na hivi ndio wakina dada wengi kwenye ule mjumuiko walikuwa wanalalamika.
Kama wa kwako hayuko hivi, basi wewe una raha!
ngoja tuwasikie na wengine
Kwangu mimi yote yanatakiw ana yana nafasi yake
Kuhakikisha kuwa mkeo anapata huduma zote za kifamilia na kindoa maana ndoa haikamiliki bila yale mambo na huwezi kusema ni ndoa kama hakuna yale mambo
So timiza jukumu kama mwanaume na kama mume na then njoo kwenye familia timiza wajibu kama baba
Unaona tofauti yake
Kwenye familia timiza kama baba wa familia na kwenye ndoa timiza kama mume wa mwanamke
Mimi nina hakika kama hili lingefanyika, basi wanandoa wengi sana wangepunguza kuwa na sleep less nights.
Hata idadi ya vimada/mahawara kwa pande zote mbili ingepungua.
Wakina dada wengi wanadai kuwa waume zao ndio wanaowasababishia kutoka nje: kwa kusahau wajibu wao wa unyumba!
mie hii ndo kwanza nisikie, mana kule kwetu ukiolewa tu hilo ni jambo la kwanza unaloambiwa, kama mume alikuwa akila, akisafishiwa nyumba hata na ndugu zake na akitandikiwa kitanda, kilichomfanya aje kukuoa hapa ni kushughulika yale ya kitandani kisha hayo mengine yanafata baadae, sasa hao wanaume wa kuoa kwa ajili ya kukulisha ndo nawasikia hapa, ndoa ni kupigwa nao mengine yanafatia , kama mwanaume hakupi vitu hakuna cha kukuweka hapo na hiyo sio ndoa ni ndoano.:embarassed2:[/QUOTE
you can say that again...
tatizo letu wanaume tunaoa na then tukishawafikisha wake zetu nyumbani tunaona ndo tumemaliza kila kitu
Kumbe yapo majukumu ambayo yanatakiwa kutekelezwa na kila upande kuhakikisha kuwa ndoa inadumu
Kuwa na mke si kumpa tuu chakula na nguo na matumizi yake
Ni zaidi ya hayo na zaidi ni ile haki yake ya kuwa mke wako
Timiza jukumu lako kama mume na sio mwanaume ndani ya nyumba
Majukumu ya mwanaume/mwanamke kwenye familia yanajulikana vizuri hizo zilizobaki ni sababu zisizo na miguu wa kichwa
Majukumu ya mwanaume/mwanamke kwenye familia yanajulikana vizuri hizo zilizobaki ni sababu zisizo na miguu wa kichwa
mie hii ndo kwanza nisikie, mana kule kwetu ukiolewa tu hilo ni jambo la kwanza unaloambiwa, kama mume alikuwa akila, akisafishiwa nyumba hata na ndugu zake na akitandikiwa kitanda, kilichomfanya aje kukuoa hapa ni kushughulika yale ya kitandani kisha hayo mengine yanafata baadae, sasa hao wanaume wa kuoa kwa ajili ya kukulisha ndo nawasikia hapa, ndoa ni kupigwa nao mengine yanafatia , kama mwanaume hakupi vitu hakuna cha kukuweka hapo na hiyo sio ndoa ni ndoano.:embarassed2:
Majukumu ya mwanaume/mwanamke kwenye familia yanajulikana vizuri hizo zilizobaki ni sababu zisizo na miguu wa kichwa
Umejuaje TF?
Ukweli ni kwamba kila mtu kwenye ndoa ana majukumu yake...Watu wakubaliane na wayatimize....
Suala la unyumba ndiyo nguzo ya ndoa...kama haupo au unatolewa kwa kusua sua kama mishahara ya watumishi wa umma basi ndoa inakuwa ikielekea ICU na baadaye kule mortuary!!
Hilo la samaki...ni kweli na linahusu pande zote mbili...Ukikaa na mtu muda mrefu una-saturate...Ni jukumu la wanandoa ku-revive mahusiano yao kwa mbinu zozote zile...
Wale wanaojikuta wameanguka na kucheat...basi wawe responsible na wafuate ma ushauri ya wataalamu ikiwemo ile dossier maarufu ya The Boss!!
tatizo letu wanaume tunaoa na then tukishawafikisha wake zetu nyumbani tunaona ndo tumemaliza kila kitu
Kumbe yapo majukumu ambayo yanatakiwa kutekelezwa na kila upande kuhakikisha kuwa ndoa inadumu
Kuwa na mke si kumpa tuu chakula na nguo na matumizi yake
Ni zaidi ya hayo na zaidi ni ile haki yake ya kuwa mke wako
Timiza jukumu lako kama mume na sio mwanaume ndani ya nyumba
Nitatoka kwa wazazi wangu na kuambatana na mme wangu kwa 7bu:kupeana raha ya tendo la ndoa kihalali na mtu tunayependana na kuanzisha na kujenga familia yetu kwa ushirikiano na mme wangu.km itashindikana kutimiziana hayo kwa namna zote bac nitafungasha mabegi maana hapo hata upendo hautakuwepo tena,hayo ya vimada na serenget boy ni kujiendekeza tu ila mkitimiziana hayana nafac.
Umejuaje TF?
Ukweli ni kwamba kila mtu kwenye ndoa ana majukumu yake...Watu wakubaliane na wayatimize....
Suala la unyumba ndiyo nguzo ya ndoa...kama haupo au unatolewa kwa kusua sua kama mishahara ya watumishi wa umma basi ndoa inakuwa ikielekea ICU na baadaye kule mortuary!!
Hilo la samaki...ni kweli na linahusu pande zote mbili...Ukikaa na mtu muda mrefu una-saturate...Ni jukumu la wanandoa ku-revive mahusiano yao kwa mbinu zozote zile...
Wale wanaojikuta wameanguka na kucheat...basi wawe responsible na wafuate ma ushauri ya wataalamu ikiwemo ile dossier maarufu ya The Boss!!
:ranger: