Hii kamata kamata ingekuwa inafanyika mikoa Fulani kule kasikazini,wangesema Mzee baba anabagua,anachuki binafsi na wazee wa kupiga mbege,ila kwa vile inafanyika kanda ya ziwa,geita,Mwanza,msoma,hapo hamna neno,wacha ipate,hata watetezi wa bavicha hutawasikia hapa wakitia neno,