bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 806
- 2,575
Kama serikali mmelifunga ziwa victoria kwa uvuvi haram na mkisubkri wazaliane tena basi siku mkilifungua hilo ziwa ni heri muwape tenda kampuni kubwa zenye vifaaa na meli za kisasa ondoeni hao wavuvi wadogo ndio wanaovua hao samki wachanga na kuuza mtaani
Sangara akiwa mdogo huwa hana ladha wala yale mafuta yake ya asili,
Sangara akiwa mdogo huwa hana ladha wala yale mafuta yake ya asili,