Samaki: Sangara na sato wanahitajika sana

Samaki: Sangara na sato wanahitajika sana

Democrat7

Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
32
Reaction score
11
Habari wanaJF,

Bado natafuta mtu kwa kuniletea samaki aina ya sangara na sato buchani kwangu, niko Dar. Mahitaji yangu ni kilo 100 za sangara na kilo 30 za sato kila wiki. Nicheck kwa whatsapp namba hii: 0769141105
 
Habari wanaJF,

Bado natafuta mtu kwa kuniletea samaki aina ya sangara na sato buchani kwangu, niko Dar. Mahitaji yangu ni kilo 100 za sangara na kilo 30 za sato kila wiki. Nicheck kwa whatsapp namba hii: 0769141105

unanunua wa kufugwa? bei?
 
Habari wanaJF,

Bado natafuta mtu kwa kuniletea samaki aina ya sangara na sato buchani kwangu, niko Dar. Mahitaji yangu ni kilo 100 za sangara na kilo 30 za sato kila wiki. Nicheck kwa whatsapp namba hii: 0769141105

mkuu mie niko mwanza, nambie niwe nakusuplaia
 
Back
Top Bottom