Wadau
Tuache kulala. Sisi tunawashabikia MNO hawa wazungu. Kwani lipi la ajabu alichokifanya huyo Mzungu? Hayo makuti? Kwani kuendesha biashara ya mgahawa ni ajabu sana?
Tumebweteka. Tumejiachia. Tumejisahau. Wazungu wanalijua hili. Wanakuja hapa, tunawapapatikia, wanaingia kichwa-kichwa. Ukimchunguza utakuta labda alikuwa na kesi kule kwao, ni wanted criminal. Pesa alizokwiba ndio ukawa mtaji wa kuanzia maisha mapya Bongo! Sisi twamwita "mwekezaji". Wa kuanzisha mgahawa????
Kalaghabahoooooo!
Toba.! Alikata bima kweli yule mzungu mswahili! Poleni waathirika wote.
Kikosi cha zima moto cha wizara ya mambo ya ndani hawajafika bado!?
Wadau
Tuache kulala. Sisi tunawashabikia MNO hawa wazungu. Kwani lipi la ajabu alichokifanya huyo Mzungu? Hayo makuti? Kwani kuendesha biashara ya mgahawa ni ajabu sana?
Tumebweteka. Tumejiachia. Tumejisahau. Wazungu wanalijua hili. Wanakuja hapa, tunawapapatikia, wanaingia kichwa-kichwa. Ukimchunguza utakuta labda alikuwa na kesi kule kwao, ni wanted criminal. Pesa alizokwiba ndio ukawa mtaji wa kuanzia maisha mapya Bongo! Sisi twamwita "mwekezaji". Wa kuanzisha mgahawa????
Kalaghabahoooooo!
Hv ww vp kwani chanzo cha tukio lolote lazima jeshi la polisi litoe? Kwani nguzo ya umeme aiawezi vunjika au kugongwa na watu wakawa wanaona na wakatoa taarifa kuwa kuna nguzo imeanguka kwa kusababishwa na kugongwa na gari? panua akili yako ndugu watu wanao ingia hapa jf wana uwelewa mkubwa sana
Duuuuh sijui wageni wangu ntawapeleka wapi leo.........labda Top garage!!!!!
top garage watoto wengi siku izi alafu yule mama sijui kaacha ule mchezo wake!
Kijiwe cha Punda kimeungua sasa!
Bado viko vingi....