Kama ni kijiji wataharisha mpaka basi, huyu analiwa na wananzengo wa wilaya yenye watu wengi kama ya Kinondoni!
KWETU IHALE MASANZA WANI WILAYA YA MAGU. Miaka ya themanini ziwani walikuwepo samaki wakubwa kuliko huyu
atakuwa ni pomboo huyo a.k.a dolphin
Huyo ni nyangumi (whale) mkuu