Samaki kutoka Bukoba wanapatikana

Samaki kutoka Bukoba wanapatikana

Alexism

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
3,423
Reaction score
2,046
Wakazi wa Dar Es Salaam karibuni sana kujipatiana mboga nzuri kutoka Bukoba kwa bei nafuu.

Tunauza aina mbili za hawa samaki waliokaangwa na kubanikwa.. Tunao sangara na sato waliokaangwa au kubanikwa kabla ya kuwekwa kwenye friji .. Kwa wanao hitaji kwa bei ya jumla au reja reja karibuni sana.. Watakao hitaji kwa wingi tunaweza kukuletea mpaka hapo kwako.. Karibuni sana
 
Weka picha tuwaone mkuu,chakula ukiona picha huwa inasaidia kiasi fulani kuvutia mlaji.
 
Wakazi wa Dar Es Salaam karibuni sana kujipatiana mboga nzuri kutoka Bukoba kwa bei nafuu.
Tunauza aina mbili za hawa samaki waliokaangwa na kubanikwa.. Tunao sangara na sato waliokaangwa au kubanikwa kabla ya kuwekwa kwenye friji .. Kwa wanao hitaji kwa bei ya jumla au reja reja karibuni sana.. Watakao hitaji kwa wingi tunaweza kukuletea mpaka hapo kwako.. Karibuni sana
Namba za simu?
 
Ahsante ngoja niweke hizo picha
 
Back
Top Bottom