Wacheki hawa, 0782 825 830 . Ila maduka ya wauza seafood wote Dar wanakua na variety nyingi sana za samaki wa baharini. Nenda hata insta kaandike tu kwny search bar "seafood tz" utakutana nao😄Habari
Kuna mtu humu anadeal na hawa samaki, wakiwa live yaani unauza live live au unajua mtu anayefanya hii biashara.. Tafadhali nipe contacts
Kuuza live live ndio aje mkuu?Habari
Kuna mtu humu anadeal na hawa samaki, wakiwa live yaani unauza live live au unajua mtu anayefanya hii biashara.. Tafadhali nipe contacts
Nandhani maana yake wakiwa haiKuuza live live ndio aje mkuu?