AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
habar zenu wakuu? Hope ijumaa kuu imekaa fresh na kdogo wale wakristo leo tumegeuka marastafarai kwakuipotezea nyama espeshali mbuzi katoliki. Swali lang je,kwa wale wana ndoa ni vyema kweli kuangalia pornoo? Maana co sir kuna nyingne zina uchafu kama mambo ya kupiga vigelegele( i know u no). Je,kwa imani za kidini mapenz kama haya ya mwanamke kutuma salamu (suckn) yanaruhusiwa? Asante
Kuacha kula nyama siku ya ijumaa ya pasaka hasa katika enzi hizo za kale ambapo dini zilisima ilikua kama sadaka kubwa sana kwa The Lord coz kipindi hicho nyama nyekundu ilikua adimu saaana hivyo matajiri ndo walikua na uwezo wa kula nyama. Therefore kutokula hiyo red meat ilikua mbonge la sadaka ila ilikua samaki inaruhusiwa cause kilikua considered kama chakula cha maskini. NIKIRUDI kwenye suala lako Mzeewaloliondo kama unapenda sana porn kutumiwa salamu na mwanamke kuonesha kua unathamini this day basi sitisha kwa leo.