Samahani, Naomba kuuliza hivi ile kesi ya mgogoro wa ardhi (Kiluvya mpiiji Magoe)kati ya serikali na wakazi wa pale uliishia wapi

Mohamedex121

JF-Expert Member
Jan 27, 2022
1,688
3,142
Habarini wakuu! Natumaini humu wote ni wazima wa afya.

Kuna kipindi fulana mama yangu alinunua kiwanja maeneo ya Kiluvya mpiiji mwaka 2013 ivi kama sikosei. Kumbe eneo lile lilikuwa na mgogoro baina ya serikali na wakazi wa pale mpaka ikapelekea baadhi ya nyumba kuvunjwa na pia na sikia hadi kuna shule ya serikali nayo pia ilivunjwa.

Ni muda sasa umepita na hii kesi ikapelekwa mahakamani na sijui imeishia wapi mwenye updates yoyote kuhusu hii kesi please namuomba anipe.

#Natanguliza_shukhurani_wakuu
 
Habarini wakuu! Natumaini humu wote ni wazima wa afya.

Kuna kipindi fulana mama yangu alinunua kiwanja maeneo ya Kiluvya mpiiji mwaka 2013 ivi kama sikosei. Kumbe eneo lile lilikuwa na mgogoro baina ya serikali na wakazi wa pale mpaka ikapelekea baadhi ya nyumba kuvunjwa na pia na sikia hadi kuna shule ya serikali nayo pia ilivunjwa.

Ni muda sasa umepita na hii kesi ikapelekwa mahakamani na sijui imeishia wapi mwenye updates yoyote kuhusu hii kesi please namuomba anipe.

#Natanguliza_shukhurani_wakuu
Sawa watakuja.
 
Bado nasubiri majibu yenu Wakuu nawaombeni mwenye updates kuhusu ile kesi mwisho wake ulikuwa wapi? Au bado kesi iko mahakamani na vipi uwendeshaji wake unaendeleaje??
 
Back
Top Bottom