LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,303
Sam mahela wa itv ndio habari ya mjini kwa sasa..,kama umedhulumiwa au haki yako imevunjwa kwa namna moja au nyingine, usihangaike kwenda polisi au mahakamani, nenda kashitaki kwa sam mahela wa itv, na hautajutia uamuzi wako. Long live sam mahela.