Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Wewe jamaa upo nyuma sana..
nahisi hata mwaka huu utakuwa unajua kuwa ni 2017.

kwa bahati mbaya sana nilikuwa nimesha acha kuitazama hii channel tangu jiwe awe jiwe. lakini sasa nimelazimishwa maana ndo channel pekee local ninayopata
 
Hiki ni kiashiria kuwa watu walio makini kama mleta mada wahapo tayari kupoteza mda wao kuangalia Tbc, hongera sana mleta mada...
 
Aisee jela mbaya.....

Karibu uraiani braza
 
Namuona na mbwembwe zake , kipindi cha mahojiano 45 minutes radio one kamwachia nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…