SALUUUT KWA akina MAMA WALIO KWENYE NDOA.

Smarty

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
776
426
Nawapa big up kwa haya mnayotufanyia kila siku!
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!


UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.


UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!


CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza. Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!


UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki kiasi kwamba nzi akijigonga kwa bahati mbaya anakatika vipande, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi Ulichomuudhi jana kashasahau na kakusamehe!


UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!


Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu! ( DG, 2008)

HIVI INGEKEWA WANAUME
TUNAFANYIWA HIVI
INGEKUWAJE?

 
there is no way u can find words to explain what our beloved wives do to us ... its impossible!! Upendo wao hauna masharti wala kipimo ... kwa kweli Mungu na aendelee kuwabariki hawa wamama wa watoto zetu!! na sie wanaume tuache kuwatenda wake zetu!!
 
Mmhh!!! Ngoja nioe kwanza and then ntajibu hili suala kwa usahihi coz i have no experience!!!
 
Mke ni mtu mwenye thamani sana katika maisha, japo ndoa inachangamoto zake lakini thamani ya mke ni kubwa kuliko changamoto hizo. Nawapogeza sana wanawake wote kwa kutu tunza na kulea ndoa zenu na kuvumilia changamoto nyingi kutoka kwa wanaume, nawapenda sana na mungu awabariki kwa yote mnayotutendea kwa maslahi yetu na familai kwa ujumla.
 
mali na utajiri ni vitu vya dunia,binadamu hutafuta na kupata bali MKE MWEMA mtu hupewa na bwana mungu. NA MTU ASIMDHARAU MKE WA UJANA WAKE!! yes ni ubavu wa mwanaume!!
naungana na wewe kuwapa baraka wamama walio kwenye ndoa.
 
aksante sn! Mungu akubarik na wewe pia.
Mke ni mtu mwenye thamani sana katika maisha, japo ndoa inachangamoto zake lakini thamani ya mke ni kubwa kuliko changamoto hizo. Nawapogeza sana wanawake wote kwa kutu tunza na kulea ndoa zenu na kuvumilia changamoto nyingi kutoka kwa wanaume, nawapenda sana na mungu awabariki kwa yote mnayotutendea kwa maslahi yetu na familai kwa ujumla.
 
Nawapa big up kwa haya mnayotufanyia kila siku!
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!


UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.


UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!


CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza. Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!


UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki kiasi kwamba nzi akijigonga kwa bahati mbaya anakatika vipande, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi Ulichomuudhi jana kashasahau na kakusamehe!


UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!


Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu! ( DG, 2008)

HIVI INGEKEWA WANAUME
TUNAFANYIWA HIVI
INGEKUWAJE?


Unadhani ananyamaza bure, natulizwa na wajuzi wa mambo.

Ukimwona kobe katulia, jua kuna kinachoendelea mawazoni mwake.

Mwenye hekima angeuliza kulikoni?
 
wanawake ni viumbe vya ajabu sana hawana kinyongo wala chuki sidhani kama kuna mwanaume anaeweze kukubaki mke wake akasex na mwanaume mwingine kisha arudi kwako na uendelee na mapenzi ya kawaida lakini mwanaume unakuwa na wake wawili au watatu au hata mia (kama mzee kikuku wa kenya) na wote wanajuana na wanapendana kushea ile kitu,

mwanamke atakufumania unasex na mwanake mwingine au housegerl kitandani kwako bado atakusamehe na usiku atakupa mzigo
 
Ingawa sio yote yaliyoongelewa mimi nayafanya lkn mke wangu anajithidi kunivumilia i will luv for the rest of ma life in this world.
Baadhi ya mambo sikuyatambua
 
Kwi kwiiiii kwi kwiiiiii mwanake gani alietayari kubeba upuuuzi huu lol labda kama yupo after something!!! asubiri umletee magonjwa tuu!!! bora nijirudie kwetu au kuanza life yangu mwenyewe :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Ingawa sio yote yaliyoongelewa mimi nayafanya lkn mke wangu anajithidi kunivumilia i will luv for the rest of ma life in this world.
Baadhi ya mambo sikuyatambua

Kuvumiliana kupo na ndio maana watu wanakaa miaka chungu nzima kwenye ndoa bila kuachana.Lakini isijengeke dhana kuwa wanaume wanaweza kufanya upuuzi wa kila aina kwa wake zao,wakitarajia msamaha.

Kuandika haya mambo kama vile nio ukweli wa msahafu ni upotoshaji.Wanaume na wanawake walio kwenye ndoa wanachukuliana na kuvumiliana japo kiwango cha wanawake cha uvumilivu ni kikubwa zaidi ya kile cha wanaume.

Tujitahidi kueneza mazuri badala ya kukazia mabaya.Kwamba unatambua mabaya wanaume wanayowafanyia wanawake ni vizuri lakini isiwe kama ndio sababu ya kuendekeza ujinga.Tunawafundisha nini watoto au kizazi kipya?
 
Nawapa big up kwa haya mnayotufanyia kila siku!
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!


UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.


UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!


CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza. Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!


UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki kiasi kwamba nzi akijigonga kwa bahati mbaya anakatika vipande, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi Ulichomuudhi jana kashasahau na kakusamehe!


UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!


Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu! ( DG, 2008)

HIVI INGEKEWA WANAUME
TUNAFANYIWA HIVI
INGEKUWAJE?


Hapo nilipopigia mstari angalia saaana usije ukajidanganya. Inawezekana na wewe anakuchakachua na jamaa la nje sasa wewe ukiwa ***** utatafuniwa kishenzi huna habari unadhani unapendwa.
 
Mh kweli kwa uvumilivu huo, mke anastahili pongezi. badhi naweza vumilia ila yakizidi akuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom