jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,521
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hasa hizi barbershop kuna warembo mle ndani ukisha maliza tu kunyolewa atakuita ndani utatajiwa huduma ambazo utajua hujui .... utasikia kaka nikufanyie masaj ya kichwa , au kaka nikufanyie scrubs, huku wakiwa na vinguo vyakichokozi
Juzi juma pili nlienda saloon moja pale mabibo mwisho baada ya kunyoa akaja mdada akaniambia njoo hku tukaingia ndani kwenye vyumba flani nya ndani baada ya kukoshwa akanza kunipapasa mabega hku akiniambia kaka nikufanyie scrubs wakati huo kichwa changu kikiwa kwenye kifua chake huku akirembua macho
Nikauchuna nika mwambia siku nyingine nika mpa akate pesa yake ya kunyoa 3000 na chenchi iliyo baki 2000 nika mwambia utakunywa soda nika sepa .... kwa sasa siendi tena hizi barbershop nta nyoa kwenye saluni za kawaida ntaend kuoga kwangu imeisha hiyo ... sitaki kubeti maisha
Hasa hizi barbershop kuna warembo mle ndani ukisha maliza tu kunyolewa atakuita ndani utatajiwa huduma ambazo utajua hujui .... utasikia kaka nikufanyie masaj ya kichwa , au kaka nikufanyie scrubs, huku wakiwa na vinguo vyakichokozi
Juzi juma pili nlienda saloon moja pale mabibo mwisho baada ya kunyoa akaja mdada akaniambia njoo hku tukaingia ndani kwenye vyumba flani nya ndani baada ya kukoshwa akanza kunipapasa mabega hku akiniambia kaka nikufanyie scrubs wakati huo kichwa changu kikiwa kwenye kifua chake huku akirembua macho
Nikauchuna nika mwambia siku nyingine nika mpa akate pesa yake ya kunyoa 3000 na chenchi iliyo baki 2000 nika mwambia utakunywa soda nika sepa .... kwa sasa siendi tena hizi barbershop nta nyoa kwenye saluni za kawaida ntaend kuoga kwangu imeisha hiyo ... sitaki kubeti maisha