Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 458
- 507
Amerudishwa tuliana ni huyu ndiye mama alisema wamrudishe maana alikuwa anapambana na ujambazi akaondolewa na figisu za mzee wa bendera kange lugola
Amerudishwa tuliana ni huyu ndiye mama alisema wamrudishe maana alikuwa anapambana na ujambazi akaondolewa na figisu za mzee wa bendera kange lugola
Jaji mfawidhi sio jamaa ila ni mwanamke tena pisi kali au jaji mfawidhi unasemaje?We jamaa kweli makalio.
Naona hata kuendelea kuongea na ww ni against morality.
Kwamba Magereza ya Kilimanjaro yana Usalama mdogo kwa mahabusu kushinda ya Dar?? Kwamba mahakimu wa RM Dar wako vizuri kushinda RM Kili?
Pathetic
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Umeingia chaka....MAKOSA ya SABAYA ni ya Kisutu ili makamera yammulike, Lema Lissu, Uamsho mbona hawakushtakiwa Zaznibar, Ikungi na Arusha?
By the way Criminal offence mahakama zote Tanzania zina jurisdiction.
unataka kubishana na jaji ?
wewe unazungumzia Civil Cases mimi nazungumzia criminal cases.Umeingia chaka....
Jaji mfawidhi hujui hata territorial jurisdiction..
hakuna ulazima wa kuleta shauri Kisutu..
ni huko huko Moshi
Jaji mfawidhi na Sexless ni mtu mmoja...ni mtu ambae leo atajifanya dume kesho jikeJaji mfawidhi sio jamaa ila ni mwanamke tena pisi kali au jaji mfawidhi unasemaje?
We jamaa mbona unakua kama taaira??wewe unazungumzia Civil Cases mimi nazungumzia criminal cases.
Unajua yule jamaa pale mwanga aliyepiga picha gari za DG Wa TISS wakamkamata na kumleta Dar na kesi yake ipo KISUTU, vipi hapo unasemaje?
so sorry najua wewe ni dent open university na unatumia madesa, ila jifunze kwa mtu wa certificate ya sheria hata wa online university, utaelewa. sikulaumu hata kikwete amesema kosa ni elimu duni ulilopewa.We jamaa mbona unakua kama taaira??
1. Wakati wa Pombe kulikua hakuna Rule of Law so relax
2. Yawezekana kosa lilifanyika Dar akakamatiwa Mwanga.
Yote yanaweza kua majibu.
Ila Nyie wasomi wa sheria mbona sisi laypersons tunawazidi??
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kaka naomba nikuchek badae basi tuongee kidogoHuyu jamaa nakumbuka ametoka depo mwaka 1999,kituo chake cha kazi kilikua arusha, mzee wangu ndio akawa anamfundisha kazi.