GE2025 Salum Mwalimu wa CHAUMMA atinga na nyomi kuchukua fomu ya Urais

GE2025 Salum Mwalimu wa CHAUMMA atinga na nyomi kuchukua fomu ya Urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
First lady Matiko hakuwepo?
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
Hawa ndio wana mtandao wa Chadema
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
Chauma(Ccm B kazi maalum)
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
Da nchi imeingiliwa kinyume na maumbile
 
Duhh chama hiki kimetoa wapi pesa zote hizi za kununua dinga Kali hizo kwa muda mfupi huu?
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
Hatimae Hashim Rungwe aonekana ni mtu 😂
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameambatana na mgombea mwenza wake Devotha Minja kufika kwa mbwembwe katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu za uteuzi wa Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Wagombea hao waliwasili wakiwa wamesindikizwa na msafara mkubwa uliojaa umati wa wafuasi wa chama hicho, wakipiga nderemo na kushangilia katika maeneo mbalimbali walipopita.


View attachment 3439045
Makada wa CCM
 
Back
Top Bottom