Salum Mwalimu ageuka msanii kwenye jukwaa. Awaimbisha wananchi waliohudhuri kwenye kampeni za CHAUMMA

Salum Mwalimu ageuka msanii kwenye jukwaa. Awaimbisha wananchi waliohudhuri kwenye kampeni za CHAUMMA

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Hivi ndivyo Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu alivyokaribishwa jukwaani kuwahutubia wafuasi wa chama hicho kwa wimbo wa Mchizi Mox uitwao ‘Mambo Vipi!’

Leo Agosti 31, CHAUMMA kinafanya ufunguzi wa kampeni katika viwanja vya Biafra - Kinondoni jijini Dar es Salaam

 
Back
Top Bottom