Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Habarini za hapa wan JF
Naombeni msaada ili niweze kupata vifaa vya Saloon ya kiume (Barber Equipments)
Mimi nipo Mwanza kama nitavipata hapahapa mwanza itakuwa fresh na pia kama nitavipata Dar es salaam poa pia
Vitu ninavyohitaji ni kama ifuatavyo
1. Barber Chairs 4
2. Cliper 8
3. Sterilizer 2
Na vinginevyo kama mtaweza kunishauri wanajamii
Naombeni msaada ili niweze kupata vifaa vya Saloon ya kiume (Barber Equipments)
Mimi nipo Mwanza kama nitavipata hapahapa mwanza itakuwa fresh na pia kama nitavipata Dar es salaam poa pia
Vitu ninavyohitaji ni kama ifuatavyo
1. Barber Chairs 4
2. Cliper 8
3. Sterilizer 2
Na vinginevyo kama mtaweza kunishauri wanajamii