Kaina
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 380
- 326
Wakuu,
Salon ya standard ya kawaida iko complete na ipo sehemu nzuri. Imekuwa hapo kwa miaka mitatu hivyo ina wateja tayari. Mwenyewe ni wa mkoani, alikuwa anasoma chuo amemaliza anarudi mkoani.
Ipo Gongo la Mboto mwisho. Bei ni nzuri na negotiable.
Kwa makubaliano na kuiona tumia namba hizi +255 657 539 720 au PM.
Ahsanteni..
Salon ya standard ya kawaida iko complete na ipo sehemu nzuri. Imekuwa hapo kwa miaka mitatu hivyo ina wateja tayari. Mwenyewe ni wa mkoani, alikuwa anasoma chuo amemaliza anarudi mkoani.
Ipo Gongo la Mboto mwisho. Bei ni nzuri na negotiable.
Kwa makubaliano na kuiona tumia namba hizi +255 657 539 720 au PM.
Ahsanteni..