anaitwa Mh. Salome Makamba, mbunge wa viti maalum (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga.Mara ya kwanza nasikia mbunge akihoji ujenzie wa Chattle Inter village airport. Anahitaji pongezi. Itabidi nitembelee huko nikajionee traffic lights gari moja baada ya kila saa.
Majibu ya waziri mpango yashatolewa? Najua atakandia na kutoa maneno ya kejeli na dharau huku akimwagia bosi wake sifa kedekedeWazalendo wa akili za kishenzi toka chama twawala watasema huyo mbunge kahongwa na ACCACIA!!!!
Anaitwa Salome Makamba - Mbunge viti Maalum CHADEMAanaitwa nani huyu? naomba jina lake!
Haijalishi yuko chama maana ukweli hauna itikadi wala maficho. Bidada yuko vyema!Nimempenda je?
Wakati KIA inajengwa miaka 40 ilopita pale palikuwa porini kabisa lakini wenye akili walijua wanafanya nini, leo tunahoji chato Airport, miaka 20 ijayo wadogo zetu watatushangaa mbunge anawezaje kuhoji kitu cha maendeleo kisa tofauti za kichamaMara ya kwanza nasikia mbunge akihoji ujenzie wa Chattle Inter village airport. Anahitaji pongezi. Itabidi nitembelee huko nikajionee traffic lights gari moja baada ya kila saa.
Ndiyo!Huo uwanja Wa chato unaojengwa in pambo?