Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Hakuna ubishi kuwa tangu Benjamin Mkapa alipoinga madarakani aliingia na mtindo wa mkewe kuwa na NGO ya ulaji EOTF. Hili lirithiwa na mke wa Jakaya Kikwete.
Kadri siku zinavyokwenda naona kama wawili hawa wanachuana. Wanangu nipeni maoni yenu juu ya nani amemshinda mwingine kuichafua na kuitumia ikulu kujineemesha. Mnaweza kuwashindanisha hata watoto wao ukiachia mbali waume zao na matendo ya kazi zao za kulibomoa taifa.
Kadri siku zinavyokwenda naona kama wawili hawa wanachuana. Wanangu nipeni maoni yenu juu ya nani amemshinda mwingine kuichafua na kuitumia ikulu kujineemesha. Mnaweza kuwashindanisha hata watoto wao ukiachia mbali waume zao na matendo ya kazi zao za kulibomoa taifa.