Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,177
Tumeshuhudia Uchaguzi Mkuu Uliopita Mwaka Huu Uko Nchini Malaysia Ukimurejesha Madarakani Waziri Mkuu Msaafu Mudathir Mohamed Role Model Wa Mh.Zitto Kabwe Kupitia Chama Cha Upinzani Kwa Kukishinda Chama Chake Cha Zaman Na Alikuwa Mrithi Wake Kwa Kishindo.Kwa Mara Ya Kwanza Aliingia Madarakani Mwaka 1981 Na Kustaafu Mwaka 2003 Akiipaisha Nchi Yake Kiuchumi.Lakin Baada Ya Miaka Karibu Kumi Na Tano Anarud Madarakan Kupitia Chama Kipya Cha Upinzan.
Je.Katika Uchaguzi Mkuu Ujao Hapa Kwetu Ikatokea Wagombea Wakawa Wafuatao Kupitia Vyama Mbalimbali, Nani Utampa Kura Yako?
1.Mh.Benjamin Mkapa
2.Mh.Edward Lowasa
3.Mh.Jakaya Kikwete
4.Mh.John Magufuli
5.Mh.Tundu Lissu
6.Mh.Zitto Kabwe
7.Mh.Ibrahim Lipumba
8.Mh.Samia Suruhu
9.Mh.John M. Cheyo
10.Mh.F.Dovutwa
11.Mh.Mark J.Mwandosya
Nani Ungempa Kura Yako Na Kwa Nini?
Je.Katika Uchaguzi Mkuu Ujao Hapa Kwetu Ikatokea Wagombea Wakawa Wafuatao Kupitia Vyama Mbalimbali, Nani Utampa Kura Yako?
1.Mh.Benjamin Mkapa
2.Mh.Edward Lowasa
3.Mh.Jakaya Kikwete
4.Mh.John Magufuli
5.Mh.Tundu Lissu
6.Mh.Zitto Kabwe
7.Mh.Ibrahim Lipumba
8.Mh.Samia Suruhu
9.Mh.John M. Cheyo
10.Mh.F.Dovutwa
11.Mh.Mark J.Mwandosya
Nani Ungempa Kura Yako Na Kwa Nini?
Last edited: