Salim Kikeke wa BBC ateuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza

Wenyewe mlimuacha Hamis Tambwe ingawa alitaka pesa kidogo tu.
Semeni hamna washambuliaji na sio kusingizia kuhujumiwa.
Makambo mlimuuza pia, Kama mlishindwa kumfunga Polisi na Ruvushuting mtaweza kuzifunga timu za kimataifa ?
Mjitathmini kuna tatizo hapo Yanga.
Tunamsubiri Molinga afunge magoli 15 kwenye VPL.
Mo anacheza na akili za mikia tu,angalia wanavyotumia nguvu nyingi kuhakikisha Yanga aifikii walipofika wao msimu uliopita huku wakiwa hawana mtu kama mo,Yanga inasuffer kwa sbb manji alihaminisha Yanga haiwezi kufanikiwa chochote bila yeye,na ndivyo mo alivyowaaminisha mikia,wahindi sio watu wazuri kabisa
 
Hamna kitu ka iko Mtani. Kwa hela gani basi ya kuweza kumlipa mtu uliyemtoa TPL anayelipwa fedha ndefu kwa wiki.
Changamsha genge hili mtani

Hahaha sisi level zetu ni kina Moringa tu

Soka la Africa tunaliweza wenyewe
Hata Hawa wabrazil wanakula mapesa ya bure tu.
 
Changamsha genge hili mtani

Hahaha sisi level zetu ni kina Moringa tu

Soka la Africa tunaliweza wenyewe
Hata Hawa wabrazil wanakula mapesa ya bure tu.
Umeonaeee. Soka hili tunaliweza wenyewe kama usemavyo Mtani.

Nasikia hao Wabrazil kuna viwanja wanaweza kuchezea na vyengine hawawezi mpaka nikasema Lol.
 
Umeonaeee. Soka hili tunaliweza wenyewe kama usemavyo Mtani.

Nasikia hao Wabrazil kuna viwanja wanaweza kuchezea na vyengine hawawezi mpaka nikasema Lol.
Mechi ya kule msoma uliiona?

Yani Viwanja vile ni vya kina ndemla etc.

Mpaka shibob ilibidi wote tuwapumzishe.

Kile kikosi kilivyopangwa hakika kocha uchebe nilimuelewa sana. Wale ni taifa tu
 
Wenyewe mlimuacha Hamis Tambwe ingawa alitaka pesa kidogo tu.
Semeni hamna washambuliaji na sio kusingizia kuhujumiwa.
Makambo mlimuuza pia, Kama mlishindwa kumfunga Polisi na Ruvushuting mtaweza kuzifunga timu za kimataifa ?
Mjitathmini kuna tatizo hapo Yanga.
Tunamsubiri Molinga afunge magoli 15 kwenye VPL.
[/QUOTtownship rollers iliyotolewa na Yanga kule botswana ni timu ya tandika au kimara ile!?
 
Niliiona Mtani.

Kumbe eee. Sasa inakuwaje wanalipwa mshahara mkubwa kuliko hao kina Ndemla na Ajib wa Mavumbini.
Mtani ajib anakula pesa ndefu sana
Kuikataa offer ya mazembe sio mchezo.

Ila wale wa Brazil ni zero kabisa
Dawa ni kwenda Sudan tu, kuwaangalia kina shiboub wengine.
 
We kenge wa purple, usiongeze maneno ambayo hao Simba wenyewe hawayafahamu. Hakuna mahala wamesema Kikeke atawasaidia kusajili wachezaji toka EPL. Zwazwa wewe!
 
Mo anacheza na akili za mikia tu,angalia wanavyotumia nguvu nyingi kuhakikisha Yanga aifikii walipofika wao msimu uliopita huku wakiwa hawana mtu kama mo,Yanga inasuffer kwa sbb manji alihaminisha Yanga haiwezi kufanikiwa chochote bila yeye,na ndivyo mo alivyowaaminisha mikia,wahindi sio watu wazuri kabisa
Huu uharo umeandika ukiwa unafikiria au miyemko?
Yanga hata kipindi manji Yupo haijawai kuvuka round ya pili ya CAF champion.
Afu unasema MO anawadanganya wanasimba.
Hivi mnashindwa kua hata historia vichwani mwenu.
MO akiwa mwenyekiti wa Simba miaka ya 2003 ameipeleka Simba robo fainali ya CAF champion.
Saizi akiwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Simba msimu uliyopita ameipeleka Simba robo fainali.
Msipomwamini kwa maneno yake aminini basi matendo yake.
Simba nguvu moja
 
Huu uharo umeandika ukiwa unafikiria au miyemko?
Yanga hata kipindi manji Yupo haijawai kuvuka round ya pili ya CAF champion.
Afu unasema MO anawadanganya wanasimba.
Hivi mnashindwa kua hata historia vichwani mwenu.
MO akiwa mwenyekiti wa Simba miaka ya 2003 ameipeleka Simba robo fainali ya CAF champion.
Saizi akiwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Simba msimu uliyopita ameipeleka Simba robo fainali.
Msipomwamini kwa maneno yake aminini basi matendo yake.
Simba nguvu moja
Wewe ndio umeandika uharo au ni ushamba wako tu wa kufika dar wakati stand ya mabasi ipo ubungo,Yanga ishawahi klabu bingwa grp stage na hlf huyo mo lini alikua mwenyekiti wa mikia!
 
Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.

Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.

Chanzo: Dira tv!
Mikia FC buana, usajili mchezaji toka EPL aje cheza vs Mbao.
 
Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.

Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.

Chanzo: Dira tv!
wampe ufalme wa uingereza kabisa! Sio huo ubalozi!
 
Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.

Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.

Chanzo: Dira tv!
Kukubali hili linampunguzia hadhi yake kama mtangazaji anaonekana kama yuko bias hivi, watu kama akina Charles Hilary hawakukubali mitego hii.
 
Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.

Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.

Chanzo: Dira tv!
BBC mtapunguza viewers kwa ajili ya huyo jamaa, especially kutoka Tanzania!
Yanga lazima tum mind Kikeke ajue hilo pia atapoteza marafiki!
 
Back
Top Bottom