Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,757
zesco wamesemaje??
Ukisikia ndoto za Alinacha ndio hizi sasa Mtani.
Yaani dunia nzima Itashangaa.Kwa hiyo awasalijilie Simba wachezaji kutoka EPL ili waje kucheza VPL kweli ?
Tumeanza na wa Brazil; mwakani tunahamia kwa mama malikiaHii ya usajili wa wachezaji wa EPL ni zaidi ya usanii. Hivi mchezaji gani mwenye akili timamu awache EPL aje kucheza TPL.
Tuwezi Siriazz saa ingine bana.
Mo anacheza na akili za mikia tu,angalia wanavyotumia nguvu nyingi kuhakikisha Yanga aifikii walipofika wao msimu uliopita huku wakiwa hawana mtu kama mo,Yanga inasuffer kwa sbb manji alihaminisha Yanga haiwezi kufanikiwa chochote bila yeye,na ndivyo mo alivyowaaminisha mikia,wahindi sio watu wazuri kabisa
Hamna kitu ka iko Mtani. Kwa hela gani basi ya kuweza kumlipa mtu uliyemtoa TPL anayelipwa fedha ndefu kwa wiki.Tumeanza na wa Brazil; mwakani tunahamia kwa mama malikia
Changamsha genge hili mtaniHamna kitu ka iko Mtani. Kwa hela gani basi ya kuweza kumlipa mtu uliyemtoa TPL anayelipwa fedha ndefu kwa wiki.
Umeonaeee. Soka hili tunaliweza wenyewe kama usemavyo Mtani.Changamsha genge hili mtani
Hahaha sisi level zetu ni kina Moringa tu
Soka la Africa tunaliweza wenyewe
Hata Hawa wabrazil wanakula mapesa ya bure tu.
Mechi ya kule msoma uliiona?Umeonaeee. Soka hili tunaliweza wenyewe kama usemavyo Mtani.
Nasikia hao Wabrazil kuna viwanja wanaweza kuchezea na vyengine hawawezi mpaka nikasema Lol.
Niliiona Mtani.Mechi ya kule msoma uliiona?
Yani Viwanja vile ni vya kina ndemla etc.
Mpaka shibob ilibidi wote tuwapumzishe.
Kile kikosi kilivyopangwa hakika kocha uchebe nilimuelewa sana. Wale ni taifa tu
Wenyewe mlimuacha Hamis Tambwe ingawa alitaka pesa kidogo tu.
Semeni hamna washambuliaji na sio kusingizia kuhujumiwa.
Makambo mlimuuza pia, Kama mlishindwa kumfunga Polisi na Ruvushuting mtaweza kuzifunga timu za kimataifa ?
Mjitathmini kuna tatizo hapo Yanga.
Tunamsubiri Molinga afunge magoli 15 kwenye VPL.
[/QUOTtownship rollers iliyotolewa na Yanga kule botswana ni timu ya tandika au kimara ile!?
Mtani ajib anakula pesa ndefu sanaNiliiona Mtani.
Kumbe eee. Sasa inakuwaje wanalipwa mshahara mkubwa kuliko hao kina Ndemla na Ajib wa Mavumbini.
Huu uharo umeandika ukiwa unafikiria au miyemko?Mo anacheza na akili za mikia tu,angalia wanavyotumia nguvu nyingi kuhakikisha Yanga aifikii walipofika wao msimu uliopita huku wakiwa hawana mtu kama mo,Yanga inasuffer kwa sbb manji alihaminisha Yanga haiwezi kufanikiwa chochote bila yeye,na ndivyo mo alivyowaaminisha mikia,wahindi sio watu wazuri kabisa
Wewe ndio umeandika uharo au ni ushamba wako tu wa kufika dar wakati stand ya mabasi ipo ubungo,Yanga ishawahi klabu bingwa grp stage na hlf huyo mo lini alikua mwenyekiti wa mikia!Huu uharo umeandika ukiwa unafikiria au miyemko?
Yanga hata kipindi manji Yupo haijawai kuvuka round ya pili ya CAF champion.
Afu unasema MO anawadanganya wanasimba.
Hivi mnashindwa kua hata historia vichwani mwenu.
MO akiwa mwenyekiti wa Simba miaka ya 2003 ameipeleka Simba robo fainali ya CAF champion.
Saizi akiwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Simba msimu uliyopita ameipeleka Simba robo fainali.
Msipomwamini kwa maneno yake aminini basi matendo yake.
Simba nguvu moja
Mikia FC buana, usajili mchezaji toka EPL aje cheza vs Mbao.Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!
wampe ufalme wa uingereza kabisa! Sio huo ubalozi!Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!
Kukubali hili linampunguzia hadhi yake kama mtangazaji anaonekana kama yuko bias hivi, watu kama akina Charles Hilary hawakukubali mitego hii.Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!
BBC mtapunguza viewers kwa ajili ya huyo jamaa, especially kutoka Tanzania!Mtangazaji mahiri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC mh Salim Kikeke ameteuliwa kuwa balozi wa Simba SC nchini Uingereza.
Klabu ya Simba imesema inategemea Kikeke atawapaisha sana kimataifa ikiwemo kuwasajilia wachezaji kutoka ligi kuu ya nchi hiyo yaani Premier League.
Chanzo: Dira tv!