Shaka Ssali anaitwa Veteran Journalist.....Hiyo Straight Talk Africa ipo kwa 10 years!! ameshaongea na viongozi wengi wenye nyadhifa za juu Afrika, Salim Kikeke ana promising future ila kwa sasa hauwezi kumlinganisha na Shaka Ssali.......Remember get better not bitter.
Ha ha haa iyo ya Gabriel zakaria umenichekesha,Generali ulimwengu nae siku hizi naona kiwango kimeshuka sana
Dr.Shaka Ssali yupo juu zaidi, ni jana tu nimetoka kumtazama.
Sema Shaka anatazamwa zaidi na watu ambao hawakukimbia umande na vipindi vyake ni pasua kichwa (kama hapa JF, ningesema JAMII INTELIGENCE) wakati Kikeke anatazamwa na kila mtu (sawa na MMU kwa hapa JF)
Dr.Shaka Ssali yupo juu zaidi, ni jana tu nimetoka kumtazama.
Sema Shaka anatazamwa zaidi na watu ambao hawakukimbia umande na vipindi vyake ni pasua kichwa (kama hapa JF, ningesema JAMII INTELIGENCE) wakati Kikeke anatazamwa na kila mtu (sawa na MMU kwa hapa JF)
Salim Kikeke anatangaza BBC (Dira ya dunia usiku) ni kipindi kinachojizolea mashabiki wengi sana wakati Shaka Ssali anatangaza VOA ( straight talk africa) kipindi ni kikongwe kidogo.Sasa naomba tupime ubora wao katika uwasilishaji na uchambuzi katika vipindi vyao,tusi base kwenye lugha mana kipindi kimoja kinaendeshwa kwa lugha ya kigeni wakati kipindi kingine ni cha kiswahili.Naomba kuwasilisha
watake radhi wana MMU
Na sam mahelaaHemed Kivuyo, tumlinganishe na nani jamani