PreGE2025 Salim Kikeke kutoka BBC Swahili hadi kuwa Chawa mkubwa wa Rais Samia

PreGE2025 Salim Kikeke kutoka BBC Swahili hadi kuwa Chawa mkubwa wa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Soma, Pia: Waandishi wana njaa mnategemea wataacha kuwa makanjanja na mchawa? Walipeni muone kama watalamba miguu yenu

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

 
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

Njaa, kwani kwenye hicho kikolokolo chake anapata nini cha maana. Lazima awe chawa, tena chawa chakavu
 
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

Hivi tunatenganisha vipi uchawa na support ya kisiasa au kifalsafa ya kawaida isiyo uchawa?

Mimi leo nikimuelewa na kumkubali Samia na kuanza kampeni za siasa kwa sababu naamini kabisa Samia ndiye mtu sahihi, na CCM ndicho chama sahihi, bila uchawa, mtanitenganishaje na machawa?
 
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

Waandishi wa habari wa nchi hii ni janga kubwa sana
 
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

Almost hakuna Mbongo asiyefika bei. Mara nyingi huwa ni suala la muda tu!
 
Hivi tunatenganisha vipi uchawa na support ya kisiasa au kifalsafa ya kawaida isiyo uchawa?

Mimi leo nikimuelewa na kumkubali Samia na kuanza kampeni za siasa kwa sababu naamini kabisa Samia ndiye mtu sahihi, na CCM ndicjo chama sahihi, bila uchawa, mtanitenganishaje na machawa?
Upo sahihi mkuu...
 
Hayo ni maisha yake na ana haki ya kikatiba kuunga mkono upande wowote wa kisiasa anaoona unafaa kwa upande wake, ndo maana hajakupangia wala kukuita chawa wa upande wako wa siasa unaouona ni sahihi kwahiyo kila mtu akae upande wake ndo demokrasia
 
Alipata Division 4, kidato cha nne!
Maratizo yalianzia hapo
Mkuu,

Division za shule za Tanzania za zamani hazina maana.

Mtu anaweza kuwa kapata division 4 kwa sababu anaumwa macho na hakuwa na miwani tu.

Wewe huoni siku hizi vijana wanavyozipiga 1 kama wanazinunua kwa Wamachinga Kariakoo?

Unafikiri akili na uelewa wetu umeongezeka ghafla hivyo?

Mpime mtu kwa kazi yake, anavyojituma, anavyojiongeza, anavyotumia mantiki, anavyotatua matatizo, hayo mambo ya division za miaka ya tisini kuna watu wamezaliwa familia mbaya tu hawakuwa na nafasi ya kujiandaa vizuri na mitihani.
 
Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.
Kuna watu wanapangiwa maisha hapa nchini ili kumfurahisha Malikia
 
Huyu ameanza kuutafuta ukurugenzi wa mawasiliano ikulu baada ya uchaguzi na anauhakika mama atashinda
 
Wakuu

Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim Kikeke wameandaa ziara ya matembezi ya kiburudani kuelekea Mkoani Tanga Wilayani Pangani kwa ajili ya kutembelea baadhi ya miradi Mkoani humo na kugawa misaada ya mbalimbali kwa Wananchi wenye uhitaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Salim Kikeke amesema moja ya usafiri utakaotumika katika safari hiyo kuelekea huko Pangani Tanga ni gari aina ya Landcruiser 4X4 zaidi ya 100.

Pia amethibitisha kupokelewa na Waziri wa maji na Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso ambaye atakuwa kama mwenyeji wao baada ya kuwasili Mkoani humo.

Lengo la safari hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Samia pamoja na kusheherekea miaka minne ya utumishi wake na mambo mazuri aliyoyafanya kwenye Nchi yetu ya Tanzania.

Watu wamejitoa ufahamu kabisa!
 
Masikini hana kiapo na kamwe usimweke dhamana masikini. Muda wowote atakuachia ushuzi wa kunuka
 
Back
Top Bottom