Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 32,063
- 67,657
- Thread starter
- #141
Mkuu, SSB akikabidhiwa Simba pale akafanya uwekezaji wa maana zikiwemo sajili makini itakuwa balaa.Nguvu ya Yanga ipo kwa mashabiki na wapenzi wa timu, nguvu ya Simba ipo kwa boss. Miaka michache ya nyuma Yanga ktk dhiki alipambana akabaki top 2, ule upepo angepita Simba angekuwa 4 au 5 huko.
Ni kweli SSB ataleta ushindani mkubwa sana ila bado atakutana na kigingi cha wananchi kwa uzito.
Sasa hivi Yanga tunatamba sababu ya uwekezaji aliofanya GSM ikiwemo uongozi makini, ukiviondosha hivyo Yanga sio lolote.