Sales consultant: tunakopesha

Sales consultant: tunakopesha

TINDIX

Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
26
Reaction score
7
Habari wandugu!!! Nilitaka kujua km kuna mtu alishawahi kua attend interview za sales consultants za tunakopesha!!! Nilitaka kujua zikoje?? Malipo yao yakoje je ni commission bases au salary?
 
Niambie Perry wakoje shouger maana nilitaka kutuma maombi ila Dada wa kaz akaniambia anataka kwenda kwao kusalimia Nikapotezea nimtese mtoto
 
KAMPUNI ZA KINYONYAJI HIZO, BORA UENDE SHAMBA............WATU WAMESHAWASHTUKIA.....
Kimbia...............kimbia..............bora uuze duka nk
 
Ethos kaz yao kubwa ni nini kutafuta wateja au?
kuzunguka kama muuza gazeti anayetembeza au muuza mihogo.....,kila shule au halmashauri na kwenda kunadi sera zako za kampuni yako ili uwashawishi wafanyakazi wakope....., na utatumia gharama zako za usafiri......ukirudi hauna wateja, meneja wako anakuwakia kinoma,....
 
Wakoje mkuu Tang'ana? Hawalipi?warushi? Malipo kidogo? Yaan nataka mnieleze kiundan maana kuna Mdogo wangu ametuma maombi ili nimwambie aendelee hapo hapo Brac alipo coz alitaka ahamie huku
 
Wakoje mkuu Tang'ana? Hawalipi?warushi? Malipo kidogo? Yaan nataka mnieleze kiundan maana kuna Mdogo wangu ametuma maombi ili nimwambie aendelee hapo hapo Brac alipo coz alitaka ahamie huku
Yupo Brac ya Arusha?
 
Utalipwa 8% ya mkopo alio kopa mteja so ili usavaivu lazima kwa mwezi upate angalau wakopaji 3 ambapo kila siku unatumia nauli,chakula vya kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom