VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
huyo katoka ikulu moja kwa moja jela
ni bora kutenda haki kuliko aibu kama hii
sio kwamba tanzania haita tokea, hapa itachukuwa muda lakini itatokea tu, kama wezi wa epa na futa msamaha wako kwa wezi.
Pia ni swali kwa wale mashehe wanopiga kelele kuhusu kikwete kutolewa madarakani, je sharia inasema je kuhusu wezi, na mtu anayesamehe wezi inakuwaje?