Kaziutumishi
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 325
- 384
Tulishasema sana huyu si mtz na yuko hapo kwa kazi maalum ya kuharibu taifa letu
Buy ujuaji huu mmmmmmh vingine muwe mnakaa kimya.umesoma mada lakini? leo ni november 7 na siyo september.
Kwa akili hii,CCM ITAWALE MILELE. Maadhimisho ya uhuru yapo kama kawaida ila zile mbwembwe za wajeda kupasua matofari mara midege kupita huko juu hamna. Hizo hela zingetumika hata kufanyia kitu chochote nje ya hospital lkn ndio hivo wameona wajenge hospital.kwani serikali inashindwa kutenga bajeti ya kujenga hospitali,hadi ichukue fedha zilizotengwa kwa ajili ya madhimisho au maadhimisho ya uhuru hayana maana?-na kuna watu wanasifia juu ya hili.kiki zingine hazina maana kwa watu werevu.
au ndio tuseme walioanzisha hiyo siku walikuwa hawajuhi umuhimu wake?.
Buy ujuaji huu mmmmmmh vingine muwe mnakaa kimya.
Mnakula bata siku ya uhuru huku nchi ikiwa ina upungufu wa hospitali?kwani serikali inashindwa kutenga bajeti ya kujenga hospitali,hadi ichukue fedha zilizotengwa kwa ajili ya madhimisho au maadhimisho ya uhuru hayana maana?-na kuna watu wanasifia juu ya hili.kiki zingine hazina maana kwa watu werevu.
au ndio tuseme walioanzisha hiyo siku walikuwa hawajuhi umuhimu wake?.
Bila shaka miongoni mwao watakuwepo Ben Saanane na Azory Gwanda!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli katika kuadhimisha siku ya Uhuru amesamehe wafungwa 4,477
Jiwe is a populist!Lissu alisema hii!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.
Source:Msemaji wa Serikali
---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli
"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli
"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli
Ni unafiki tu mkuu! Hata wauwaji huwa wanawahi kanisai kutoa sadaka na anaonekana watu wema na wa kupigiwa mfano. Ogopa hao watu.Bila shaka miongoni mwao watakuwepo Ben Saanane na Azory Gwanda!
Happy birthday Tanzania
Kwa nn tsile Bata hpa yenyewe tumetoka kula Bata usiku huu...Mnakula bata siku ya uhuru huku nchi ikiwa ina upungufu wa hospitali?
Ulitaka Salamu za Uhuru zitolewe na Mbowe?Jiwe is a populist!Lissu alisema hii!
Alisema jiwe ni "hybrid" ya Lyatonga Mrema na Moringe Sokoine.
Lissu alipatia sana, "especially" kwenye hiyo ya "populism" au kutaka tu misifa. Pia ya kutokufuata sheria(Sokoine) alipatia vyema.