Mwaka unaisha huu ahadi yake ya kuhamia Dodoma itatimia lini?VITA YA KIUCHUMI NI NGUMU KULIKO ILE YA KUDAI UHURU
Birthday ya Tanganyika sio TanzaniaHappy birthday Tanzania
Duh.Na wewe umeelewa mada lakini?
Leo ni december 7 na siyo november.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.
Source:Msemaji wa Serikali
---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli
"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli
"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli
Sawa...isije ikawa kama ile mil.50 kila kijiji. Wacha tuwe na subiraVuta Subira mkuu
Baada ya salamu hii Jiwe kabakisha sherehe moja ya mwakani baada ya hapo salamu za sherehe za uhuru za mwaka 2020 atatoa Mh. Bernard Camilius MembeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.
Source:Msemaji wa Serikali
---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli
"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli
"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli
Wewe una akili mbovu sana! kwani aliyeusambaratisha uchumi wa Nchi hii nani? Kila tatizo mnasingizia vita ya uchumi! Siku hizi kila mara utasikia "vita ya uchumi" mara "uchumi wa kati" mara "wia ini ze raiti traki" pumbavu kila siku mnahadaa watu. Membe ndiyo dawa yenu mbwiga nyieVITA YA KIUCHUMI NI NGUMU KULIKO ILE YA KUDAI UHURU
Sijawahi kuona serikali ya kinafiki Kama hii ya JiweTunasitisha sherehe za kumbukumbu ya Uhuru eti kubana matumizi !!
Mbona tunafuja mabilioni kwa. Chaguzi za hovyo za marudio za ubunge na madiwani ?
Tuache unafiki.....
Analeta nuksi mjini mkuuHivi anahamia lini Dodoma huyu mtu?