Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,716
Kwani kati ya mtanzania na Rwandan nani ni maskin zaidi. Hayo mengine endeleeni kutukanana.....Rasilimali yoyote ya Tanzania au Rwanda ndiyo imefanya muwe Masikini Kiuchumi na ' Majuha ' kama mlivyo sasa. Inaboa!