Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
- Thread starter
- #81
Hebu acha ujinga basiKukosoa siyo tatizo, tatizo ni namna gani unakosoa! Huwezi kosoa kwa kudhalilisha utu tena kiongozi wa Taasisi kubwa ya Urais ukasema unakosoa, hapo ndo mnapokosea!!
Unataka kusema una uchungu kuliko hata Raisi mwenyewe?