Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Kuna mkoa fulani hivi nilikuwa majuzi wenyeji wana tabia ya kushangaa na ushamba. Halafu wanapenda kumuuliza mtu mgeni maswali yasio na maana. Kumsalimu ishakua tabu ndo unampa chance ya kuuliza maswali yasio na msingi.
Sasa ukiwakaushia tu usipowasalimia kuepuka maswali wanaanza kusema unajiona na kujskia. Mtu anapoteza muda kuhoji maswali muda ambao angekuwa bize na kazi
Hii tabia inanikera sana..
Sasa ukiwakaushia tu usipowasalimia kuepuka maswali wanaanza kusema unajiona na kujskia. Mtu anapoteza muda kuhoji maswali muda ambao angekuwa bize na kazi
Hii tabia inanikera sana..