nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
Mjitahidi kuheshimu ustaarabu na mambo ya nchi hii ya bongo.
Aliye waambia hiyo inaitwa Pugu Rd. ni yule mnaempaka rushwa?
Tunapenda kuchukua fursa hii kuwataka Duka lenu lililopo Nyerere rd muondoe ile sehemu iliyoandikwa Pugu road.
Hii barabara imepewa jina hilo ikiwa na maana ya kumuenzi muasisi wa taifa hili.
Nina uhakika mnajua jina hilo kwani hata katika ramani zote za ki dunia jina linasomeka hivyo hata ktk GPS.
Hii ni dharau na kiburi cha nyinyi wauza magodoro ya Nakuru.
Salamu zangu kwa leo zinaishia hapo.
Nyaaang'au.
Aliye waambia hiyo inaitwa Pugu Rd. ni yule mnaempaka rushwa?
Tunapenda kuchukua fursa hii kuwataka Duka lenu lililopo Nyerere rd muondoe ile sehemu iliyoandikwa Pugu road.
Hii barabara imepewa jina hilo ikiwa na maana ya kumuenzi muasisi wa taifa hili.
Nina uhakika mnajua jina hilo kwani hata katika ramani zote za ki dunia jina linasomeka hivyo hata ktk GPS.
Hii ni dharau na kiburi cha nyinyi wauza magodoro ya Nakuru.
Salamu zangu kwa leo zinaishia hapo.
Nyaaang'au.