kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
mletamada kidogo ungepatia ila kwakuwa udini si hoja ktk mpambano ndani ya tz.tuyaache ya ngoswe yawe ya ngoswe na vilivyo vya kaisari tumpe kaisari.NI VIGUMU SANA KUBAINI SADAKA SAFI NA CHAFU.Dawa pokea zote ziombee na kuzitakasa kwa mujibu wa imani yako,ila nyumba za ibada zisitumike kusafisha wanasiasa