shida mbaya sana
shida mbaya sana
Kila nikiiangalia picha hii kwa kiongozi wa upinzani kumsalimia JK kwa ishara hii nashindwa kupata picha halisi!
![]()
jamani ni heshimu tu kwa mheshiwa ha hah a
Hapo alikuwa anashukuru kupewa kaubunge!!!
Alimfananisha na Askofu wa WAKATOLIKI nini?- Heshima kwa mkuu wa nchi, hata vitabu vya dini vinakubali hilo, saafi sana mkuu!
William @ NYC, USA
Labda hili ndiyo jibu sahihi kwangu mimi..............................Huyu ndie shujaa wa wengi nji hii aliyechakachuliwa kiakili na kiafya.
Mkuu tuheshimu wanaVunjo tuliompa Mrema ubunge....sio mkwere!