Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Kuna bwana mmoja alimuaga mkewe kuwa anasafiri kikazi
atakua huko kwa siku 3. Wakati anatoka mkewe akamfuata
na kumpatia salama cond... mume alipouliza kwanini amempa
salama mke akajibu kuwa ziweke tu huwenda shetani atakupitia
zita kusaidia. Mume akafurahi kimoyomoyo, akiwa anaingia
kwenye gari lake mke akaja tena, samahani mume wangu na mimi
naomba uniachie moja. MUME AKAMPIGA KOFI NA KUMWAMBIA
MALAYA MKUBWA.
atakua huko kwa siku 3. Wakati anatoka mkewe akamfuata
na kumpatia salama cond... mume alipouliza kwanini amempa
salama mke akajibu kuwa ziweke tu huwenda shetani atakupitia
zita kusaidia. Mume akafurahi kimoyomoyo, akiwa anaingia
kwenye gari lake mke akaja tena, samahani mume wangu na mimi
naomba uniachie moja. MUME AKAMPIGA KOFI NA KUMWAMBIA
MALAYA MKUBWA.