GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Sijui kama zina jina jingine zaidi ya tulilolizoea tokea tukiwa wadogo!
Arusha tulikuwa tukiziita SALADI. Na Mwanza napo pia zianitwa hivyo, japo ni watu wachache wanaozifahamu, na hata upatikanaji wake ni adimu. Lakini ukifika soko kuu la
Mwanza unaweza ukabahatika kuzipata.
Kwa kawaida hizo mboga zinaoteshwa pembezoni mwa mto unaotiririsha maji. Sijui kama inawezekana kuziotesha nje ya mto.
Inawezekana kuotesha nje ya mto? Nimejaribu kutafuta taarifa zake mtandaoni lakini sijafanikiwa kuziona. Labda zina jina jingine zaidi ya SALADI?
Msaada tafadhali kwa mwenye taarifa!
Arusha tulikuwa tukiziita SALADI. Na Mwanza napo pia zianitwa hivyo, japo ni watu wachache wanaozifahamu, na hata upatikanaji wake ni adimu. Lakini ukifika soko kuu la
Mwanza unaweza ukabahatika kuzipata.
Kwa kawaida hizo mboga zinaoteshwa pembezoni mwa mto unaotiririsha maji. Sijui kama inawezekana kuziotesha nje ya mto.
Inawezekana kuotesha nje ya mto? Nimejaribu kutafuta taarifa zake mtandaoni lakini sijafanikiwa kuziona. Labda zina jina jingine zaidi ya SALADI?
Msaada tafadhali kwa mwenye taarifa!