Azul
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 742
- 1,590
Umetisha sanaaKwa maelezo yako hiyo ni watercress au yellowcress. Inahitaji maji mengi kukua.Jina la kisayansi Nastrutium officinale.
Umetisha sanaaKwa maelezo yako hiyo ni watercress au yellowcress. Inahitaji maji mengi kukua.Jina la kisayansi Nastrutium officinale.
Salad zipo za aina nyingi mno. Ni vyakula vya mchanganyiko wa vegetables au meat ambavyo vinaweza kuwa vibichi au vimepikwa na hukwekwa seasoning kama oil, vinegar, limao, chumvi na viungo vingine. Hakuna aina moja tu ya vegetable inayoitwa salad.Daaah yani mi najuaga saladi ni hiyo 😂😂
Kweli nimeiona nayo ni saladi, basi saladi zipo aina nyingiUpo sahihi, hiyo ni lettuce.
Hiyo Waswahili mtakuwa mmeamua tu kuiita hivyo lakini neno salad halina specific vegetable. Kuna mpaka potato salad, tuna salad, spring onion salad, macaroni salad , lettuce salad etc.Kuna mboga moja inaitwa saladi ukiachana na huo mchanganyiko wa mbogamboga
Hata kachumbali ni salad ya nyanya, vitunguu, matango na ingredients nyingine yoyote unayoweza kuweka.Kweli nimeiona nayo ni saladi, basi saladi zipo aina nyingi
Du imekaa kama ubongo wa CPA MakalaBasi mi siku zooote najuaga saladi ni hii (Lettuce) hii ndo huwa naiita saladi kumbe sijui 😁
View attachment 3324674
Yes unaweza kukuza hata kwenye beseni sema uwe unabadili maji yake hata mara 2 kwa wiki. Kwenye YouTube hutakosa tutorialsSijui kama zina jina jingine zaidi ya tulilolizoea tokea tukiwa wadogo!
Arusha tulikuwa tukiziita SALADI. Na Mwanza napo pia zianitwa hivyo, japo ni watu wachache wanaozifahamu, na hata upatikanaji wake ni adimu. Lakini ukifika soko kuu la
Mwanza unaweza ukabahatika kuzipata.
Kwa kawaida hizo mboga zinaoteshwa pembezoni mwa mto unaotiririsha maji. Sijui kama inawezekana kuziotesha nje ya mto.
Inawezekana kuotesha nje ya mto? Nimejaribu kutafuta taarifa zake mtandaoni lakini sijafanikiwa kuziona. Labda zina jina jingine zaidi ya SALADI?
Msaada tafadhali kwa mwenye taarifa!
Jamii forum ni maktaba inayotembea! Asanteni sana mkuu!Kwa maelezo yako hiyo ni watercress au yellowcress. Inahitaji maji mengi kukua.Jina la kisayansi Nastrutium officinale.
Ni sahihi! Salad ni KACHUMBARI, lakini pia hiyo mboga ninayoizungumzia tulizaliwa tukaikuta huko kwetu ikiitwa kwa jina la SALADI.SALAD = KACHUMBARI
ZipoHizi mboga ni Tamura sana bahati mbaya dar sijaziona
Ukimwambia mama yangu akuandalie salad, atakuandalia mboga za majani almaarufu kama WATERCRESS. Lakini ukimwambia Mzungu akuandalie SALAD, yeye atakuandalia KACHUMBARI, labda ya WATERCRESS, au LETTUCE, n.k.Kweli nimeiona nayo ni saladi, basi saladi zipo aina nyingi
Mimi hata ukizichemsha tu bado nitazila. Ni tamu hata bila kuungwa.Saladi na nyamaa.naweza kula kilo ya ugali
Upo sahihi pia, kutegemeana na mazingira.Daaah yani mi najuaga saladi ni hiyo 😂😂
Lakini pia kuna mboga inayoitwa SALADI kwa baadhi ya mikoa.Hata kachumbali ni salad ya nyanya, vitunguu, matango na ingredients nyingine yoyote unayoweza kuweka.
Nishaiona mkuu! Kilichobaki sasa ni utekelezaji tu. Nitafanya hivyo.Yes unaweza kukuza hata kwenye beseni sema uwe unabadili maji yake hata mara 2 kwa wiki. Kwenye YouTube hutakosa tutorials