OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
acha kiherehere wewe hivi mbona unarukia kila uzi unaonzishwa halafu unachangia mashudu kama haya?CHADEMA waombeni radhi polisi
acha kiherehere wewe hivi mbona unarukia kila uzi unaonzishwa halafu unachangia mashudu kama haya?CHADEMA waombeni radhi polisi
Ushindi gani? Kwani mlizuiwa kuingia ofisini? Au kulipana mishahara? Kazi za kila siku rukhsa siku zote. Kilichokataliwa ni naadamano na mikutani kumtukana Rais au Dr Tulia au Bajeti - hayo ni ya bungeni.safi sana bavicha...mmecheza propaganda nzuri sana...good...tumeona Matunda..ila bado
Which is better quality or quantity?Tanzania ni ya watanzaniaNa nyie mtawekewe MAWAKILI 17 , ?
Ya CHASO ilikuwa ni kuzuia bendera au sio?.Acha hizo bana usijitoe ufahamu ukweli haki na demokrasia ndo misingi ya siasa safi mambo ya vijipropaganda uchwara na usanii ulaghai hayatatufikisha popote.Ni lini polisi ilikataza mikutano hiyo ya ndani ya kisiasa?
Yaani mlijitengenezea sanamu ya polisi halafu mkaanza kupambana nayo halafu mnataka mjisifu??
Aliyepotosha tangazo la polisi na Magufuli ni ninyi wenyewe...jana limefafanuliwa mnakuja kujidai washindi haha ha kweli hii ndio bavicha uchwara ....Tarehe 23 mngevunjika miguu haswa....sasa wapeni nauli wale waliojiandikisha kuja kusaidiana na polisi warudi makwao ...halafu sijui makamanda mtamsikiliza nani kati ya lowassa au Mbowe katika aina ya siasa mnazotaka kuzifanya.
HATIMAE "BAVICHA" WAMEFANIKIWA KWA HATUA YA KWANZA.
Nikiwa huku mafichoni kusiko julikana na viongozi wenzangu wakiwa gerezani kwa kosa lakuipigania haki na demokrasia huru ya nchi hii nimepata faraja kubwa kuona kwa hatua za awali Polisi na Serikali wamenyanyua mikono na kuruhusu mikutano ya ndani.
Ni jambo jema kwetu kwakuwa tulijitoa kwa hali na mali kuhakikisha tunafanikiwa kwa kile tunacho kiamini kwa maslahi ya chama chetu na Baraza letu.
Viongozi wenu tupo salama huku tulipo,na hatuna hofu kwakuwa tumejitoa kulipigania taifa letu dhidi ya mfumo kandamizi wa Demokrasia na utawala bora.
M/kiti na Katibu mkuu wanawasalimia sana,na wameomba msirudi nyuma kupaza sauti zenu kuililia demokrasia inayonyongwa na watawala kila kukicha.
M/kiti BAVICHA Taifa, George Tito wao wamehamishiwa gereza la Chamwino na Katibu mkuu amebaki Dodoma mjini,tunafikiri kesho lazima itakuwa ni Mahakamani hivyo nawaomba Viongozi na wanachama wote mfike Mahakamani kwaajili ya kuwapa moyo viongozi wetu.
Imetolewa July 10
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
Usikirupuke kupost kabla ya kusoma thread yote.....Ya CHASO ilikuwa ni kuzuia bendera au sio?.Acha hizo bana usijitoe ufahamu ukweli haki na demokrasia ndo misingi ya siasa safi mambo ya vijipropaganda uchwara na usanii ulaghai hayatatufikisha popote.
Mawakili 17 ni sawa na Tundu Lisu 1 kwahiyo haina haja.Na nyie mtawekewe MAWAKILI 17 , ?
Wanafikir hana madhara makubwa kama wengineLakini on the same dates lowassa alikutana na hao Chaso blia bugudha??
Mbona unaweweseka sana kaanzisha mada kuhusu hilo tutakukujibu turudi kwenye madaeti kupigania democrasia!!!!! hahahaaaaa!!!ndani ya chama chenu democrasia haipo!!! ukimpinga Mwenyekiti unaitwa msaliti!! unajiunga chama Leo kesho mgombea urais!!!! tafuteni democrasia ndani ya chama chenu kwanza!! unamtoaji boriti wakati ndani ya jicho lako kuna kibanzi!!?????
CHADEMA waombeni radhi polisi
Akili zenu mbovu tu. Wote wenye akili walijua mikutano ya ndani ruksa na mikutano ya mbunge au diwani na wananchi wake ruksa. Huenda wahusika wanawenza wao magereza
Ulichotaka nisome ni kipi kwamba polisi walizuia maandamano na mikutano ya wazi tu au?Na unachotaka nikuelewe ni kipi kwamba chadema kuna mgogoro wa kimisimamo kati ya lowassa na mbowe au?Usikirupuke kupost kabla ya kusoma thread yote.....
Ukweli ni kuwa hata hao BAVICHA walilielewa vizuri sana katizo la Polisi na hata la Rais Magufuli. Hata CHADEMA kwa ujumla wao walielewa vizuri sana ila kwa lengo la kutafuta kick wakaanza kupoteza umma kwa makusudi. Juzi hata kabla hao polisi hawajatoa ufafanuzi kule Arusha ulifanyika mkutano mkutano wa CHADEMA ukiwahusu viongozi wa halmashauri zinazoongozwa na chama chao. Mh Lowassa na katibu mkuu wa CHADEMA walihudhuria na walikuwa wawezeshaji katika huo mkutanao Eaulizeni CHADEMA na BAVICHA kama kulikuwa na katazo kama wanavyotaka kuwaaminisha Watanzania, ilikuwaje wao wakaandaa huo mkutano? Na mbona polisi hawakuwakataza kama walikuwa wamezuia kila aina ya mkutano wa vyama vya siasa?