hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Jovi police kuwashikilia watu ambao hawana makosa ndio huwa wanaona sifa ya kutaka kupandishwa cheo.
police acheni kuwaonea wanyonge kwaajili kutaka kupandishwa vyeo.
kama ipo ipo tu msilazimishe vyeo. fanyeni kazi kama vyeo vitakuja kwa wakati wake.
police acheni kuwaonea wanyonge kwaajili kutaka kupandishwa vyeo.
kama ipo ipo tu msilazimishe vyeo. fanyeni kazi kama vyeo vitakuja kwa wakati wake.