anything else you got from the thread apart from the mzungu.Jesus!! Embu soma hii sentensi yako tena. Wow!
Let me rephrase this "you are at their mercy" because you have chosen to be so and think so, definitely not me. My mama wasn't weak, neither did she raise weak women and neither will I. You do raise some valid and burning issues but to expect all this to be handed to you by wazungu? What is wrong with you doing it yourself?anything else you got from the thread apart from the mzungu.
yani hata ningeremba maneno vipi ukweli unabaki kuwa we're at their mercy ikija kwenye maswala ya gender.
the men of this continent have a problem. mzungu njooo
Mtoto alimzalau mama yake baada ya mama kutoa hotuba ya kipuuzi, hotuba ambayo iliwadhalilisha bibi na babu zake, yaani kizazi chao kilichopita, kilichopo na kijacho na kitakacho kuja baada ya hichi kijacho, TUKUZA ASILI YAKO HOUSE DADA. AU JICHUBUE ILI UONDOKE KATIKA FAMILIA YETU HII YA MANYANI.Eh mzungu, nakujia kwako jmosi hii tulivu, baada ya kugonga kitimoto roast ya ukweli, ingawa kuna member humu anajitahidi kweli na mada zake za kuponda mdudu huyu, ingawa ulishafanya tafiti za kutosha kusafisha uongo wote.
Eeeh mzungu saidia bara hili la giza.
Saidia na huku tuwe na wanaume manake kuna wanawake na mifugo tu.
Kutwa mifugo hii kujilinganisha na ng'ombe, kuku na mbuzi kutetea michepuko. Yani kweli ni kuku na mbuzi.
Hivi mwanaume anayejielewa anaweza kujifananisha na mnyama kweli?? Wanaume wa kuhesabuu.
Eeehh mzungu saidia bara hili lenye Giza.
Saidia manake mifugo mingi bado ina undugu wa karibu na masokwe. Ni kutumia mahasira na nguvu kujitia ukuu na ubabe kama masokwe porini.
Eeeh mzungu mpunguzie akili yako kidogo. Hadi leo watu wenye elimu zao za hapa na pale bado wanatafuta ukuu kama sokwe porini, wananyanyasa wanawake kimwili na kisaikolojia. Akili na ustaarab wako hawana!
Eeehh mzungu tusaidiege huku!
Mifugo haijielewi. Kutwa na sharubu zao kujiita dhaifu ili kutetea kupanda panda ovyo na kuumiza familia. Halafu yenyewe haitegemi kufanyiwa hivyo la sivyo itakurecord na kusambaza video.
Ndomana bara haliendelei. kuendekeza Mihemko tu kama mmbwa. NO DISCIPLINE. POOR COGNITIVE DEVELOPMENT.
Eeeeehhh muzungu ,
Saidia wanaume wa huku.
Kutwa kuongelea tamaduni za enzi za mitume wakati tuko kwenye ubepari.
Kutwa kufananisha wanawake na bibi zao wakati hali halizingani. Wanawake wanapataje shida kuishi maisha ya dunia mbili TOFAUTI ili kuwaridhisha! Lakini wao maisha yao na babu zao ni yaleyale. Full kurelax kidume. . Eeehh muzungu vavaa...
Eeehh Muzungu saidia...
Mifugo inaona dunia wameumbiwa wao, wanawake wamekuja by the way. Wao ndo wenye akili za maamuzi. Wao hawakoseagi. Wao ndo wa kuheshimiwa na kujaliwa. Wao ndo wenye tamaa za mwili. Wao ndo WAGUMU kuonewa na kusamehe. Wao ni kutafuta sukari tu, kutunza mahusiano si kazi yao. Wanawake ndo wa kujiheshimu wao wanaweza kujitia hamnazo.
Lakini mzungu,
Wanawake nao ni MAJIPU! hawajielewi. Kutwa kujitia kufundana ujinga unaoishia kutesa wenzao.
Wanawake wamefungwa kifikra. Wanasema ETI mifugo ndo silika yao!!
Hawajiamini. Eti waongozwe. Wawezeshwe. Itumike akili kuishi nao manake hawajielewi.
Hivi muzungu, wanawake wa huko dunia ya kwanza hawajielewi kama wa huku? Me naona wa huko ndo inahitajika AKILI kuishi nao. Wa huku wanaishi kwa vipigo, vitisho, ubabe na michepuko tu.
Mzungu tusaidie ELIMU ELIMU ELIMU.
Saidia na wanaume wanaoogopa degree holders 😀 saidia ili tuwalinde watoto wao watakaoozeshwa wakimaliza LA saba.
Kupitia serikali ya utumbuaji majipu na kidikteta (unaolazimishwa na mifugo ya bara hili) naomba muzungu utuokoe na UJINGA..
SO BE IT..
Let me rephrase this "you are at their mercy" because you have chosen to be so and think so, definitely not me. My mama wasn't weak, neither did she raise weak women and neither will I. You do raise some valid and burning issues but to expect all this to be handed to you by wazungu? What is wrong with you doing it yourself?
Mbona watu mna mshambulia housegirl namna hiyo? Ametumia sanaa kufikisha ujumbe. Nashangaa katika point zote alizoziongea mmeona Mzungu tu. Yaani mmechukulia Mzungu kama Mzungu. Ni kama Mrisho Mpoto alivyoimba mj
Kiukweli katika ustaarabu na usawa wa gender wazungu wametuzidi mbali. Katika jamii zetu bado tuna unyanyasaji wa kijinsia wa kipumbavu, tunahitaji elimu. Wanawake nao hawajitambui, wanafundwa kuvumilia ujinga wa wanaume. Tuna safari ndefu. Mzungu anaweza akasaidia.
Jamii yetu imejaa unafiki. Kupiga vita ushoga wakati mnakula tigo za wanawake. Ustaarabu ni Kukubali na kuheshimu sex orientation za watu wengine. Msihukumu watu kwa sex orientation. Hao wazungu waliowaletea biblia na dini leo wanafungisha ndoa za jinsia moja, nyie ambao mmeletewa tu ndo mnajidai mnajua sana! Kushinda waliowaletea. Kwani itachomwa moto kwa dhambi za mwenzako. Wewe shika 50 zako na imani yako waache wengine wafanye yao, huo ndo ustaarabu.
Tubadilike, jamani. Tuheshimu wake zetu nao watatuheshimu, tuache visingizio vya kupitiwa na shetani au udhaifu ili kuhalalisha michepuko.
muzungu atupe elimu yake atukomboe na ujinga na utumwa wa fikra...SO BE IT
Hii sred yako naona umekosea peleka huko unakoamini ni sahihi, ona hakuna hata anaekusapoti sred nzima toka juzi umeibandika.Naona JF imeweka tangazo la Reach For Change hapo. yani watoke kwao huko waje waangalie kama quality ya maisha ya watoto wenu inaridhisha!
mzungu njooo, bara la Giza hili
Mbona watu mna mshambulia housegirl namna hiyo? Ametumia sanaa kufikisha ujumbe. Nashangaa katika point zote alizoziongea mmeona Mzungu tu. Yaani mmechukulia Mzungu kama Mzungu. Ni kama Mrisho Mpoto alivyoimba mjomba etc.
Kiukweli katika ustaarabu na usawa wa gender wazungu wametuzidi mbali. Katika jamii zetu bado tuna unyanyasaji wa kijinsia wa kipumbavu, tunahitaji elimu. Wanawake nao hawajitambui, wanafundwa kuvumilia ujinga wa wanaume. Tuna safari ndefu. Mzungu anaweza akasaidia.
Jamii yetu imejaa unafiki. Kupiga vita ushoga wakati mnakula tigo za wanawake. Ustaarabu ni Kukubali na kuheshimu sex orientation za watu wengine. Msihukumu watu kwa sex orientation. Hao wazungu waliowaletea biblia na dini leo wanafungisha ndoa za jinsia moja, nyie ambao mmeletewa tu ndo mnajidai mnajua sana! Kushinda waliowaletea. Kwani itachomwa moto kwa dhambi za mwenzako. Wewe shika 50 zako na imani yako waache wengine wafanye yao, huo ndo ustaarabu.
Tubadilike, jamani. Tuheshimu wake zetu nao watatuheshimu, tuache visingizio vya kupitiwa na shetani au udhaifu ili kuhalalisha michepuko.
sijakuelewa
umedata na mzungu bro
😀
kama content imekupita may the underworld help you...
I'M NOT TAKING ANYTHING BACK.
bye
My mama wasn't weak, neither did she raise weak women and neither will I.
Let me rephrase this "you are at their mercy" because you have chosen to be so and think so, definitely not me. My mama wasn't weak, neither did she raise weak women and neither will I. You do raise some valid and burning issues but to expect all this to be handed to you by wazungu? What is wrong with you doing it yourself?
Mifugo wamejiita wenyewe. Nimeshasema Naonaga humu wakijilinganisha na ng'ombe, kuku na mbuzi kutetea michepukoAcha kujitetea reference yako ilikuwa ni wazungu vs hao unaowaita mifugo, nyani, wanyama.
If you felt offended its most probably because you're the type of man that I just described. YOU SHOULD BE OFFENDED. That was the whole point of the postA good person could have addressed a problem if actually there is a need to do so in a paratable non offensive language.
huh????? Hades!! hivi kila anayeongelea gender issues alikuwa sexually abused??Hicho ulichofanya wewe ni side effect ya ujinga wako either your faulty led into sufferings sexually and now you are putting blames to innocents.
If you didn't Cary other people's business in your head you wouldn't have bothered arguing here!!!!!Why do you like to carry people's busness in your head??
“Conformity is the jailer of freedom and theHii sred yako naona umekosea peleka huko unakoamini ni sahihi, ona hakuna hata anaekusapoti sred nzima toka juzi umeibandika.
.
hii principle ungeitumia maishani mwako probably tungekuwa on the same page right now.Wewe ndio mtumw wa fikra kuliko watumwa wa aina nyingine na huu ndio utumwa mbata kuliko aina zote za utumwa, utumwa wa kuamini kika kitu hata kama ni kibaya.
.
unatakaje kitimoto yako? roast? fried? eti nasikia kuna ya kuchoma... agiza na vinjwaji to your full, all on me. 😀Mbona watu mna mshambulia housegirl namna hiyo? Ametumia sanaa kufikisha ujumbe. Nashangaa katika point zote alizoziongea mmeona Mzungu tu. Yaani mmechukulia Mzungu kama Mzungu. Ni kama Mrisho Mpoto alivyoimba mjomba etc.
Kiukweli katika ustaarabu na usawa wa gender wazungu wametuzidi mbali. Katika jamii zetu bado tuna unyanyasaji wa kijinsia wa kipumbavu, tunahitaji elimu. Wanawake nao hawajitambui, wanafundwa kuvumilia ujinga wa wanaume. Tuna safari ndefu. Mzungu anaweza akasaidia.
Jamii yetu imejaa unafiki. Kupiga vita ushoga wakati mnakula tigo za wanawake. Ustaarabu ni Kukubali na kuheshimu sex orientation za watu wengine. Msihukumu watu kwa sex orientation. Hao wazungu waliowaletea biblia na dini leo wanafungisha ndoa za jinsia moja, nyie ambao mmeletewa tu ndo mnajidai mnajua sana! Kushinda waliowaletea. Kwani itachomwa moto kwa dhambi za mwenzako. Wewe shika 50 zako na imani yako waache wengine wafanye yao, huo ndo ustaarabu.
Tubadilike, jamani. Tuheshimu wake zetu nao watatuheshimu, tuache visingizio vya kupitiwa na shetani au udhaifu ili kuhalalisha michepuko.
hiyo ya wanaume wa kuhesabu niliweka nilipoEdit kupunguza mashambulizi 😀Haha housegirl bana. Umesema kuwa kuna wanawake na mifugo tu, okay. Hujafika mbali, unashangaa mifugo hiyo kujilinganisha na mifugo...? Mara wanaume wa kuhesabu.
Am I the only slow kind here?
nimeita masokwe wanaume wenye kupractice domestic violence. kama you're among them you're a sokwe!
Hata wanawake pia wapo wenye kupractice domestic violence pia, so basi wote ni masokwe!!!nimeita masokwe wanaume wenye kupractice domestic violence. kama you're among them you're a sokwe!