Sala ya kabla na baada ya tendo la ndoa

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,483
20,434
Muhimu kwa waliofunga ndoa pekee,na wanaofuata sheria takatifu
IMG_20181213_144638_350.JPG
 
Na sidhani atakuwepo wakusoma baada ya tendo.. Sidhani kabisa.. Maana kwa maisha yetu machache ya uzinzi hatuwezi.. Sijui Wa kwenye ndoa huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao pia sidhani Word. Si kitu rahisi ujue sababu ile kitu inakuja tu na ikishakuja basi akili zinahama na kuhama. Sasa kukumbuka sala sidhani kama ni rahisi. Ila huenda wapo wanaoweza.
 
Nawaza tu,ndio mmeamua kusali mwenzako hamalizi,unabaki kufungua vimacho unamchungulia jinsi anavyokuchelewesha na njaa ya miezi miwili...
 
Mmmm na wale wenye nguvu za kuweka kigogo mlimani mpaka usali yeye kashamaliza anakoroma huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom