MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,434
Muhimu kwa waliofunga ndoa pekee,na wanaofuata sheria takatifu
Na sidhani atakuwepo wakusoma baada ya tendo.. Sidhani kabisa.. Maana kwa maisha yetu machache ya uzinzi hatuwezi.. Sijui Wa kwenye ndoa hukoWanaoisoma kabla ya tendo ni kumi kwa mmoja.
Hao pia sidhani Word. Si kitu rahisi ujue sababu ile kitu inakuja tu na ikishakuja basi akili zinahama na kuhama. Sasa kukumbuka sala sidhani kama ni rahisi. Ila huenda wapo wanaoweza.Na sidhani atakuwepo wakusoma baada ya tendo.. Sidhani kabisa.. Maana kwa maisha yetu machache ya uzinzi hatuwezi.. Sijui Wa kwenye ndoa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale watumishi watumishi ambao wapo karibu saaana na Mzee watakua wanafuata wanachofundisha..Hao pia sidhani Word. Si kitu rahisi ujue sababu ile kitu inakuja tu na ikishakuja basi akili zinahama na kuhama. Sasa kukumbuka sala sidhani kama ni rahisi. Ila huenda wapo wanaoweza.
Eeeh. Labda hao. 😀😀😀Wale watumishi watumishi ambao wapo karibu saaana na Mzee watakua wanafuata wanachofundisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ambalutAmbao hatuna ndoa lakini tunakula papuchi tunacomment wapi?
Hapana ni 1/1000 hata mzee wa upako sidhani kama anakumbuka akiwa anataka kupiga mamboWanaoisoma kabla ya tendo ni kumi kwa mmoja.
Ule wa kumuumba binadamu mume na Mke ndiyo Upendo wenyewe haswa.Upendo Wa Mungu waliouuonja au unaozungumziwa hapo Ni Upi wakuu
😀😀😀😀😀Mungu ameonjaje upendo wetu tena?