hahahahahaha umenichekesha yes perfume ilikua lazima bila kusahau lips ie unapaka lipstick then unaibusu kadi sasa zile alama za lips zinaipamba kadiMlikumbuka na kupulizia pafyumu hizo kadi na barua zenu jameni, maana mimi nilikuwa na shughuli ya kununua pafyumu mara kwa mara kwani ilikuwa ina kazi nyingi.
Niliisahau hiyo, duuuh ahsante kwa kunikumbusha dada yangu.hahahahahaha umenichekesha yes perfume ilikua lazima bila kusahau lips ie unapaka lipstick then unaibusu kadi sasa zile alama za lips zinaipamba kadi
Mimi bwana nisikudanganye ili nionekane labda mtu mwema kwa mtazamo wa wengine hapana . Siwezi kuuanzisha huu utaratibu kwa sababu naamini tendo lile lilishabarikiwa kilichobaki upande wangu ni utekelezaji tu. Nikianzisha huu mtindo wa kufanya maombi basi itabidi hata kabla ya kumfikiria mume wangu niwe nabariki kwanza. Kumbuka si lazima tendo lifanyike hata kwa kumuwaza mtu kwa kumtamani tayari ni kama tendo limetendeka sasa mmmmh hapana acha tu mimi niwe huru na pia unapewa sawasawa na unavyoamini. Kwa wanaoamini ni lazima walibariki tendo hili nawapa hongera na nauheshimu utaratibu wao.
Hata kama umeoa ndoa ya kanisani?
Ndoa ya kanisani ni kubariki tendo, ndio maana wakinyimana wanashtakiana kwa baba paroko
Passion Lady uko wapi?
Tunaomba uzoefu wako kwa hili, hivi wewe unatumia mistari gani ya sala?
​hahahaaa!!pacha umeua daaah!!Himidini mi bora niwe mkweli kusali na sali ila pale ufahamu ukishanitoka ndio nashusha verse balaa like Oog God jamani nashukuru kwa kunipa mume mtamu naomba umbariki anizidishie jamani nisishawishike na mwanaume wa aina yoyote.......! Huku shughuli ikiendelea....
Himidini, kuombea tendo? Naona kama vile nitakuwahi namuita Mwenyezi Mungu aje ashuhudie ninachokifanya, kitu kinachonipa ugumu ndani ya moyo wangu kwa namna ninavyomfikiria huyu Mungu wangu mwingi wa rehema, ambaye kwa kudra zake, niko hai mpaka leo!
Kwa upande wangu, acha tu nile bila kuombea!!!
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
​hahahaaa!!pacha umeua daaah!!
Hahahaaa! burdaan sana....kweli Lady doctor unasali? shughuli kiendelea huku unasali si utaanza kunena kwa lugha kweli!
hivi pacha we unasaligi kweli ukiwa na shemeji yangu Ruttashobolwa?
Mh!! hapa nadahani ni zile games za maeneo yenye joto ambayo bila feni game haliendi kabisa ndio kuna zile za "tugeukie huku my dia"It will kill the fun
Mnakuwa mmejiandaa mno
Ndio mwamnzo wa kuanza kuambizana, ilaze kuelekea kusini mashariki ili ikinzane na pepo za mansuni
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^