Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,190
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
 
^^
.... wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.

^^
Himidini, kuombea tendo? Naona kama vile nitakuwahi namuita Mwenyezi Mungu aje ashuhudie ninachokifanya, kitu kinachonipa ugumu ndani ya moyo wangu kwa namna ninavyomfikiria huyu Mungu wangu mwingi wa rehema, ambaye kwa kudra zake, niko hai mpaka leo!
Kwa upande wangu, acha tu nile bila kuombea!!!
 
Last edited by a moderator:
Hata kama umeoa ndoa ya kanisani?

Ndoa ya kanisani ni kubariki tendo, ndio maana wakinyimana wanashtakiana kwa baba paroko

Himidini, kuombea tendo? Naona kama vile nitakuwahi namuita Mwenyezi Mungu aje ashuhudie ninachokifanya, kitu kinachonipa ugumu ndani ya moyo wangu kwa namna ninavyomfikiria huyu Mungu wangu mwingi wa rehema, ambaye kwa kudra zake, niko hai mpaka leo!
Kwa upande wangu, acha tu nile bila kuombea!!!
 
Himidini, kuombea tendo? Naona kama vile nitakuwahi namuita Mwenyezi Mungu aje ashuhudie ninachokifanya, kitu kinachonipa ugumu ndani ya moyo wangu kwa namna ninavyomfikiria huyu Mungu wangu mwingi wa rehema, ambaye kwa kudra zake, niko hai mpaka leo!
Kwa upande wangu, acha tu nile bila kuombea!!!
Kaka hapo umenivunja mbavu hahahahhahaaaaaaaaaaaa
 
Sasa kama chuma kikoli moto ukianza kuomba si kitapoa, na hata hicho chungu chenyewe si kitakauka wakati tayari kilishajaa maji. Hofu yangu unaweza ukajikuta umeanza kunena kwa lugha ukimaliza kila kitu kiko doro.

Kwanza ilishabarikiwa madhabahuni wakati nafunga ndoa ndio maana likaitwa tendo la ndoa takatifu hata Mungu anachukia tusipofanya
 
Himidini, kuombea tendo? Naona kama vile nitakuwahi namuita Mwenyezi Mungu aje ashuhudie ninachokifanya, kitu kinachonipa ugumu ndani ya moyo wangu kwa namna ninavyomfikiria huyu Mungu wangu mwingi wa rehema, ambaye kwa kudra zake, niko hai mpaka leo!
Kwa upande wangu, acha tu nile bila kuombea!!!
mwelewe mtoa mada rafiki, amesema ombea tendo la ndoa, siyo ngono.
sasa unakuwa na kigugumizi gani kuombea tendo la ndoa? Mungu anajua unatakiwa kulifanya ili ndoa yako ikamilike, sasa kwa nini umwogope?
 
Sala kabla ya tendo la ndoa? hahahaha, I'm not sure it's a good idea! you be like:
Bwana tunakuomba utuwezeshe tendo hili tunalo taka kushiriki katika jina lako
Yutangulie, eh bwana, na utuhepushe na pepo zote zinazo wesha kutokosesha malengo yetu
Tunakemea katika jina lako tukufu pepo zote za dushelele kuishiwa nguvu baada ya goli la kwanza
Bwana tupe nguvu ya kushinda pepo la primaturity linalo shusha mbegu baada ya dakika chache
Tunakemeaa na kuzifungia pepo za STD, za Ukimwi, na pepo la magonjwa mengine ya zinaa.
Waongoze wageni wetu, eh bwana, wasije piga hodi wakati bado tunashiriki tendo hili tukufu,
Msaidie partner wangu huyu afurahie tendo kama nitakavo furahia mimi. Nipe inspiration eh Bwana
ya kuweza kumridhisha mwenzangu, kabla ya kumuingilia, wakati wa kumuingilia na kisha kumuingilia
Bwana tupe nguvu ya kushinda vishawishi vya kujipoteza njia wakati tunajua njia halali ilipo,
Bwana tupe nguvu ya kutovuta picha za wake za watu wakati umebariki kua na wake zetu wa ndoa
Na ikikupendeza eh bwana wa mabwana, Mungu muweza vyote, mchezo huu usife bure, tuzae mtoto.
Amen.
 
ngoja mimi nijisemee ukweli....
sijawahi kuombea tendo kabla ya kuanza kufanya, ila, kila siku huwa tunasali pamoja kabla ya kwenda kulala, baada ya sala za pamoja huwa tunakuwa na kipindi cha ukimya ambapo kila mtu anaomba anachotaka. huwa mara kwa mara siachi kumwomba Mungu abariki tutakachokifanya usiku huo, kwa hiyo haijalishi tutafanya muda gani. na asubuhi pia huwa naomba hilo, kwa hiyo ikitokea tunafanya any time mchana basi nakuwa nilishaliombea.
unajua haya mambo huwa hatuambizani "haya sasa tuanze", huwa yanatokea tu.... sasa sipati picha mzuka umepanda mnaambiana "No....ngoja kwanza tuombe"...... mpaka maombi yanaisha zile hamasa zinaweza zikawa zilishakimbia......
 
ngoja mimi nijisemee ukweli....
sijawahi kuombea tendo kabla ya kuanza kufanya, ila, kila siku huwa tunasali pamoja kabla ya kwenda kulala, baada ya sala za pamoja huwa tunakuwa na kipindi cha ukimya ambapo kila mtu anaomba anachotaka. huwa mara kwa mara siachi kumwomba Mungu abariki tutakachokifanya usiku huo, kwa hiyo haijalishi tutafanya muda gani. na asubuhi pia huwa naomba hilo, kwa hiyo ikitokea tunafanya any time mchana basi nakuwa nilishaliombea.
unajua haya mambo huwa hatuambizani "haya sasa tuanze", huwa yanatokea tu.... sasa sipati picha mzuka umepanda mnaambiana "No....ngoja kwanza tuombe"...... mpaka maombi yanaisha zile hamasa zinaweza zikawa zilishakimbia......

^^
Hongera sana FP Vipi kushukuru? Iliwahi kukuingia moyoni?
^^
 
Last edited by a moderator:
Sala kabla ya tendo la ndoa? hahahaha, I'm not sure it's a good idea! you be like:
Bwana tunakuomba utuwezeshe tendo hili tunalo taka kushiriki katika jina lako
Yutangulie, eh bwana, na utuhepushe na pepo zote zinazo wesha kutokosesha malengo yetu
Tunakemea katika jina lako tukufu pepo zote za dushelele kuishiwa nguvu baada ya goli la kwanza
Bwana tupe nguvu ya kushinda pepo la primaturity linalo shusha mbegu baada ya dakika chache
Tunakemeaa na kuzifungia pepo za STD, za Ukimwi, na pepo la magonjwa mengine ya zinaa.
Waongoze wageni wetu, eh bwana, wasije piga hodi wakati bado tunashiriki tendo hili tukufu,
Msaidie partner wangu huyu afurahie tendo kama nitakavo furahia mimi. Nipe inspiration eh Bwana
ya kuweza kumridhisha mwenzangu, kabla ya kumuingilia, wakati wa kumuingilia na kisha kumuingilia
Bwana tupe nguvu ya kushinda vishawishi vya kujipoteza njia wakati tunajua njia halali ilipo,
Bwana tupe nguvu ya kutovuta picha za wake za watu wakati umebariki kua na wake zetu wa ndoa
Na ikikupendeza eh bwana wa mabwana, Mungu muweza vyote, mchezo huu usife bure, tuzae mtoto.
Amen.

^^
Mbona nzuri!!!!! Try this at home
^^
 
  • Thanks
Reactions: Taz
Back
Top Bottom