Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
Tumefundishwa jinsi ya kuomba. ..maneno ya Mungu yanasema hivi. ...basi usalipo fanya hivi funga mlango wako sali na baba yako aliye sirini atakujazi. ...nisingependa leo niende huko hiyo ni mada nyingine lakini
Mungu wetu sio kiziwi hata tumpigie kelele
Kiongozi nimekutumia msg ktk in box yako kimya tafadhali pita huko inbox au nimechemka kutuma?Mmh Tenzi za rohoni?
Mimi nilituma PM hata JF haijabadilishwa Mshana Jr ukanyamaza kabisaOk Jf ya sasa inataka ufundi hasa kwenye notification
Ni kweli hasa sisi vijana wa zamani na hz high tech ni shidaaaaaaaaaa anyway umeona lakini?Ok Jf ya sasa inataka ufundi hasa kwenye notification
Ni hiyo hiyoYa palm niliipata ulituma nyingine?
Nyimbo za Tenzi za Rohoni zina nguvu ya Ajabu kivipi Mshana??Hapana ila zile nyimbo zina nguvu ya ajabu
Ulishawahi kuziimba? Kwenye Ukristo kuna vitabu hivi mwimbieni Bwana Tenzi za rohoni na vingine ...Tenzi za rohoni hutumiwa na madhehebu mengi na nyimbo zake kiroho hufanya maajabuNyimbo za Tenzi za Rohoni zina nguvu ya Ajabu kivipi Mshana??
yhaaaa nimeshawhi kuziimba na huwa naziimba sanaaa tuu ndomana nimeuliza na nikiziimba hizi huwa napata sana Amani MoyoniUlishawahi kuziimba? Kwenye Ukristo kuna vitabu hivi mwimbieni Bwana Tenzi za rohoni na vingine ...Tenzi za rohoni hutumiwa na madhehebu mengi na nyimbo zake kiroho hufanya maajabu
Mambo makubwa ya ulimwengu huu yamefichwa chini ya videvu vya watu, lakini wanayatafuta nchi za mbali.post za mshana nazipendaga na kuzi amini sana kaka mshana unajua sana..
Asante nafanya sala maalum pia kwa ajili yako na wasafiri wengine hapa nilipoLeo umekuja vzr mshana jr hapo naunga mkono 100%. Kabla cjafungua uzi huu nlikuwa nasali kumya sababu ndo nimeanza safar kutoka mkoan kwenda dar. Kwa iman tutafika salama. Naamini sana sala za kimya na zimefanya kazi sana kwangu na nnaowaombea..