Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
kondoo mwingine wa zumaridi huyu hapa 😂 😂 😂Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
kondoo mwingine wa zumaridi huyu hapa 😂 😂 😂Hawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Bora kondoo unaweza kumla nyama. Huyo ni kengekondoo mwingine wa zumaridi huyu hapa 😂 😂 😂
Mnashoboka na wanaume wenzenu mtatiwa mimbaaaaaaaHawezi kukaa hata bench, ameitwa kukamilisha idadi tu
Nasisi ndugu zake wa JF tuwe makini asije kuanza na sisi huyu ndugu![]()






Ikitokea hivyo basi bora aanze na Sisi Wazee kidogo tuliokula kula chumvi 🙈🏃🏃
Roho mbaya inakusumbua!! nahisi utakufa sio muda baada kusikia karuka kuchezea klabu moja kubwa ulaya.. Sakho na Mane ni mtu na mtuwe katazame tuzo za CAF msimu uliopita..Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Yani ni aibu...aibu..aibu kubwa.Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Bora kenge kuna watu wanakulaga,hiyo ni kinyesiBora kondoo unaweza kumla nyama. Huyo ni kenge
Umemaliza?Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.
Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.
Sakho ni chawa wa Sadio Mane