Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Anza na hii one night basi ya leo.Kweli mwili na moyo vimekubali
Hebu nikukunje ungali mbichi kweli
Anza na hii one night basi ya leo.Kweli mwili na moyo vimekubali
Hebu nikukunje ungali mbichi kweli
Anza na hii one night basi ya leo.
Tehtehteh....
Mdaka chozi mm na uzee huu na uzi wapi na wapi mambo ya vijana hayoTegemea na wewe uzi wako siku si nyingi






Uzi wako ungeambatana na picha ingekuwa poa zaidi...Potelea mbali
Uzuri mimi siyo mnafiki wala mwoga mwoga kusema hisia zangu.
Sakayo ni mwanadada anayenisisimua kimapenzi hapa JF.
Simjui yupoje, sijawahi kumwona ila nimejitengenezea picha yake akilini mwangu. Picha hii hata nikiiwaza tu nasisimuka kihisia hadi jogoo anawika.
Niseme wazi kuwa, hii picha nikiiwaza usiku, inanifanya niruke bafuni kusaka Artificial ejaculation
Sakayo mama, natamka wazi hapa hadharani kuwa, nakutamani sana kimapenzi,,, i wish siku moja nipate hata chance ya kupenzika na wewe hata round moja tu
Sakayo nakupenda na nina hamu ya penzi lako..
Dharau & Kejeli zinaruhusiwa.
Mjina Mrefu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Mzee Mengi na uzee wake lakini bado ana mapenzi yakutosha,Mim ni nani ninifanye kauzu?Mdaka chozi mm na uzee huu na uzi wapi na wapi mambo ya vijana hayo
Kama wewe unavyompenda yule jamaa yako wa bara!



Ningeshagaa ukose kwenye huu uzi!