Sakayo nakutamani kimapenzi

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Dec 6, 2016
3,030
3,324
Potelea mbali

Uzuri mimi siyo mnafiki wala mwoga mwoga kusema hisia zangu.

Sakayo ni mwanadada anayenisisimua kimapenzi hapa JF.

Simjui yupoje, sijawahi kumwona ila nimejitengenezea picha yake akilini mwangu. Picha hii hata nikiiwaza tu nasisimuka kihisia hadi jogoo anawika.

Niseme wazi kuwa, hii picha nikiiwaza usiku, inanifanya niruke bafuni kusaka Artificial ejaculation

Sakayo mama, natamka wazi hapa hadharani kuwa, nakutamani sana kimapenzi,,, i wish siku moja nipate hata chance ya kupenzika na wewe hata round moja tu

Sakayo nakupenda na nina hamu ya penzi lako..

Dharau & Kejeli zinaruhusiwa.

Mjina Mrefu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyuzi za kuwekwa public namna hii hata manzi anaona ni utani tu.

Ni kama umchukue msichana uende nae uwanja wa Taifa au kwenye kongamano la maombi kwaajili ya kumtongozea katikati ya mamia au maelfu ya watu

Lazima akuone duanzi au mchekeshaji

Kwani huwezi kwenda inbox kwake?
 
IMG_1615.JPG
 
Back
Top Bottom