Hauwezi
Subiri ukue kue kidogo
UtaharibikiwaKwa hiyo mie mdogo hata siwezi kupata ka one hour stand?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauwezi
Subiri ukue kue kidogo
UtaharibikiwaKwa hiyo mie mdogo hata siwezi kupata ka one hour stand?
Caution:Damn! leo mapenzi kila kona. Na hiki ki baridi huku niliko, I'm tempted to do something nasty!
- KANA -
Tehteh...Hauwezi
Subiri ukue kue kidogo
Tehteh...
Acha nilale naona aibu.....kina dada na kaka mnaongea mambo ya wakubwa.
Tegemea na wewe uzi wako siku si nyingi
Najua hapo utakuwa unachekelea. nikikuwa unifundishe hiyo one stand night basi.Mods waje waanzishe jukwaa la watoto
Mnaharibikiwa huku katika hizi jukwaa za wakubwa
Najua hapo utakuwa unachekelea. nikikuwa unifundishe hiyo one stand night basi.
Mkunje samaki angali mbichi..najua kama mwalimu hii methali unaisimamia vilivyo....uje unikunje ningali mbichi basi.Teh!
Usijali..mie nitakuwa mwalimu wako wa kwanza ukikua
Mods waje waanzishe jukwaa la watoto
Mnaharibikiwa huku katika hizi jukwaa za wakubwa
😂😂😂😂Mkunje samaki angali mbichi..najua kama mwalimu hii methali unaisimamia vilivyo....uje unikunje ningali mbichi basi.
....njia nyingine zikifeli, puchu is the only wayCaution:
Punyeto sio salama.

Ukiona hivyo..ujue mwili na moyo vyote vishakubali...
Nimekosa cha kujitetea ujue
Hoteli kubwa Arusha kuliko zoteHebu taja location inayojulikana basi
Dawa ya kulevya hiyo.....njia nyingine zikifeli, puchu is the only way![]()
Kweli mwili na moyo vimekubaliUkiona hivyo..ujue mwili na moyo vyote vishakubali...
Kama nadanganya unichape.
Sijui chochote kuhusu Arusha